VIDEO: Baadhi ya waZanzibar wapinga muungano, baadhi wako tayari kujitoa muhanga!

Kila kitu kijadiliwe hakuna ubaya kuongea tatizo kwenye demokrasia zote extreme views ndio hupewa sauti kubwa ilhali watu wengi wapo middle ground.

Muungano ni mzuri ila kama ndoa kuna mapungufu na dawa yake sio kuuvunja ila ni kujadiliana tulipotoka, tulipo na tunapokwenda. Tukubali tusikubali sisi ni ndugu kuna wapemba na waunguja wengi bara na sasa hivi kuna wabara wengi tu Znz kuanzia wamasai waliopo Kendwa na nungwi mpaka wafanya biashara mbalimbali Wachaga, wapare, wakinga kibao tu wapo unguja. Na hivi sasa tukiwa kwenye mchakato wa EAC na katiba ni wakati murua pia kuongelea muungano wetu.

Muungano ni watu nasi watu wetu wengi wameshaungana ama kwa ndoa, makazi au biashara. Kama watu wananganganiza basi tuwe na kura ya maoni watu waamue, mimi muungano naufagilia sana na najivunia nao siku zote, sisi wote ni waswahili na tusilite mambo ya ukabila hapa mbaya sana...
 
nimesikiliza hii video, bado sielewi hawa "wazanzibara" wanaotakiwa kurudi kwao bara ni kina nani??
 
Zanzibar imekuwepo kabla ya Muungano na itaendelea baada ya Muungano...Hizi sio zama za kuburuzana muda sio mrefu ukombozi utapatikana...

mkuu takashi tatizo... ni viongozi wenu! ndio wana ng`ang`ania muungano! ... Leo hii ukienda mzalendo ukimsema maalim seif utatukanwa hadi basi...!! maalim seif ni ndumila kuili anang`ata na kupuliza ... akiwa bara na viongozi wa CCM hagusii kabisa yale maneno ambayo anayowaambia wa zanzibar akikutana nao kwenye mikutano ya mihadhara!..

achaneni na CUF na CCM... mtaipata nchi yenu!
 
Wazanzibara ni watu wanaotaka kuifuta Zanzibar...watu wasiotaka kuona Jamuhuri ya watu wa Zanzibar...
mimi nadhani kuna kitu kimejificha nyuma ya hizi kelele...mungu anisamehe kama nimekosea lakini mimi nadhani haya mambo ya ajira,mafuta nk ni vitu vinvyotumika tu kuficha hoja ya msingi ya wazanzibari..udini udini udini...!
 
nimesikiliza hii video, bado sielewi hawa "wazanzibara" wanaotakiwa kurudi kwao bara ni kina nani??
mkuu umewasahau wale aliowasema jussa kuwa wameipigia kura chadema kule uzini? hao ndiyo wazanzibara wanaotakiwa kuondoka kwa sababu uwepo wao kule kunahatarisha ustawi wa imani ya dini fulani...!
 
..ZNZ ipewe madaraka kamili ya kujitawala.

..kuna makosa yamefanyika na yakaachwa kwa muda mrefu bila kushughulikiwa na matokeo yake ndiyo haya.

..pia muungano wetu kwa kuzingatia ukubwa wa Tanganyika na udogo wa ZNZ siku zote utakuwa na kero na malalamiko.

..suluhisho ni kuuvunja muungano na tuendelee kushirikiana ktk masuala kama ya SARAFU, ULINZI, na UHAMIAJI[kila upande una raia wake upande wa pili wa muungano?].

..pia tujiepushe na jazba na mambo ya kutaka kukomoana baina ya wa-Tanganyika na wa-ZNZ. tusipokuwa makini na kauli na matendo yetu kuna watu watakuja kunyakuliwa na Mzee Ocampo na kushtakiwa ktk mahakama ya kimataifa The Hague.
 
Jokakuu,
Unajua mkuu wangu hawa jamaa wana matusi sana na asili yao. Ukweli ni kwamba woote hawa wanaopiga kelele sii Wazanzibar kwa asili ni wahamiaji na kama unakumbuka Karume aliwahi kusema wale woote wazazi wao walitoka Ngazija na hawakuukana Ungazija itabidi warusishwe kwao.. Zanzibar nzima iligwaya maana asilimia kubwa ya wakazi wake ni wangazija ambao walikimbia makwao.

Na kiasili hawa watu ni watu wa Msumbiji (Wamakonde) ambako pia walikimbilia visiwa vya Ngazija enzi za Mreno akipambana na Mwarabu..Ikumbukwe tu asili ya ukimbizi kutokana na ugomnvi mkubwa baina ya Mwarabu na Mreno ndio sababu hata ya Zanzibar kuwa chini ya Muingereza maana kama wasingepata hifadhi hiyo Mreno alitaka kuichukua hadi Zanzibar.

Hii ni Historia ya hawa watu japokuwa itawaudhi lakini ndio ukweli na wapo radhi hata kuwekea mashaka Uzawa wa Karume au Mwinyi kuliko Mgazija aliyehamia pale mwaka 1967, huyu ataonekana raia na sababu haswa ni kwamba hawa watu ni kama Gipsy hawana nchi kutokana na asili ya ukimbizi.

Sasa leo wanapokuja kudai Zanzibar ni nchi yao kidogo inanipa mashaka maana hakuna kati yao mwenye asili ya makabila ya Zanzibar - Hakuna maana wameisha mezwa na hawa wageni wengine wana asili ya Yemen na Oman wameoana na kuzalishana na kama kuna mtu anabisha nenda kazungumze na mtu mmoja mmoja muulize asili yake.. Utamsikia huyunakisema mimi Myemen, Mburushi, na mweusi utamsikia Mgazija (MMakonde) na kadhalika tofauti na bara au nchi nyinginezo ambazo unawakuta wakazi wake ni wa makabila ya sehemu hizo...

Waache watukane sana, Muungano hauwezi kuvunjika kwa kelele za hawa watu ambao leo wanaitaka nchi kama Myahudi alohamia Palestina hiyo hiyo wanaitolea mfano. Na kama kweli wanayo nia ya kuvunja serikali ya Zanzibar itapewa Wazazibar wenye asili ya nchi hiyo na wao wataamua kuhusu hawa wageni. Kisha pia wakumbuke kwamba hawa wanaojiita Wazanzibar wakahamia bara itabidi nao wavuliwe Utaifa wao maana ikiwa kweli watru wengine kama sisi tumevuliwa Utaifa wetu kwa sababu tuna Uraia wa nchi nyignine itabidi nao tuwavue tena hakuna swala la uraia wa nchi mbili..

Naiomba serikali ikawize hata swala la Uraia wa nchi mbili hadi pale swala la Zanzibar na Muungano litakapo patiwa ufumbuzi. wawape alternative wachague wenyewe (referendum) tena wao tuu maana matusi mazito yamezidi sana wala wasiseme ubaya wetu nini isipokuwa tu sisi kuwepo kwetu Zanzibar ni sawa na bomba la kinyesi lakinni wao kuwepo bara haizungumziwi. Haya matusi ya kina Jussa na Maalim Seif yamefikia kiwango ambacho hatuwezi tena kuyavumilia.
 
sure,kwa picha hzo zi0nekanazo,wazenj hawa wanamwamko sana na it seemz HAWATOIJADIL KATIBA BILA HATMA YA MUUNGANO

Wafahamishe wabara hawa ndio maana tunasema hawana akili kazi yao ni wizi na pombe,sasa mpk waznz wawasaidie kudai tanganyika yenu? mbona nyinyi mumekaa kimya? hapa mwenye elimu ni nani? nyinyi tukiwatoa sisi kwenye mikono yetu mutakua watumwa wa nchi nyengine kama c uganda au kenye.
 
Jokakuu,
Unajua mkuu wangu hawa jamaa wana matusi sana na asili yao. Ukweli ni kwamba woote hawa wanaopiga kelele sii Wazanzibar kwa asili ni wahamiaji na kama unakumbuka Karume aliwahi kusema wale woote wazazi wao walitoka Ngazija na hawakuukana Ungazija itabidi warusishwe kwao.. Zanzibar nzima iligwaya maana asilimia kubwa ya wakazi wake ni wangazija ambao walikimbia makwao.

Na kiasili hawa watu ni watu wa Msumbiji (Wamakonde) ambako pia walikimbilia visiwa vya Ngazija enzi za Mreno akipambana na Mwarabu..Ikumbukwe tu asili ya ukimbizi kutokana na ugomnvi mkubwa baina ya Mwarabu na Mreno ndio sababu hata ya Zanzibar kuwa chini ya Muingereza maana kama wasingepata hifadhi hiyo Mreno alitaka kuichukua hadi Zanzibar.

Hii ni Historia ya hawa watu japokuwa itawaudhi lakini ndio ukweli na wapo radhi hata kuwekea mashaka Uzawa wa Karume au Mwinyi kuliko Mgazija aliyehamia pale mwaka 1967, huyu ataonekana raia na sababu haswa ni kwamba hawa watu ni kama Gipsy hawana nchi kutokana na asili ya ukimbizi.

Sasa leo wanapokuja kudai Zanzibar ni nchi yao kidogo inanipa mashaka maana hakuna kati yao mwenye asili ya makabila ya Zanzibar - Hakuna maana wameisha mezwa na hawa wageni wengine wana asili ya Yemen na Oman wameoana na kuzalishana na kama kuna mtu anabisha nenda kazungumze na mtu mmoja mmoja muulize asili yake.. Utamsikia huyunakisema mimi Myemen, Mburushi, na mweusi utamsikia Mgazija (MMakonde) na kadhalika tofauti na bara au nchi nyinginezo ambazo unawakuta wakazi wake ni wa makabila ya sehemu hizo...

Waache watukane sana, Muungano hauwezi kuvunjika kwa kelele za hawa watu ambao leo wanaitaka nchi kama Myahudi alohamia Palestina hiyo hiyo wanaitolea mfano. Na kama kweli wanayo nia ya kuvunja serikali ya Zanzibar itapewa Wazazibar wenye asili ya nchi hiyo na wao wataamua kuhusu hawa wageni. Kisha pia wakumbuke kwamba hawa wanaojiita Wazanzibar wakahamia bara itabidi nao wavuliwe Utaifa wao maana ikiwa kweli watru wengine kama sisi tumevuliwa Utaifa wetu kwa sababu tuna Uraia wa nchi nyignine itabidi nao tuwavue tena hakuna swala la uraia wa nchi mbili..

Naiomba serikali ikawize hata swala la Uraia wa nchi mbili hadi pale swala la Zanzibar na Muungano litakapo patiwa ufumbuzi. wawape alternative wachague wenyewe (referendum) tena wao tuu maana matusi mazito yamezidi sana wala wasiseme ubaya wetu nini isipokuwa tu sisi kuwepo kwetu Zanzibar ni sawa na bomba la kinyesi lakinni wao kuwepo bara haizungumziwi. Haya matusi ya kina Jussa na Maalim Seif yamefikia kiwango ambacho hatuwezi tena kuyavumilia.

Mkandara,

..hapa bwana wapewe madaraka kamili wajitawale wanavyotaka.

..Tanganyika is too big and important kukaribisha uvunjifu wa amani kisa tunataka kulinda muungano.

..kwani Mzanzibari yeyote aliyeko Tanganyika akipewa uraia au ukaazi[green card] wa kudumu wa Tanganyika kuna tatizo gani?

..haya mambo msiyachukulie kwa jazba. hata mimi mwanzoni nilikuwa napandwa hasira sana nikisikiliza hoja zao. majority ya hoja zao zimetiwa chumvi.

..Hawa wenzetu have nothing to loose kama wanavyosema wenyewe, sasa sisi wa-Tanganyika tunapaswa kutia akili hapo.
 
Jokakuu,
Unajua mkuu wangu hawa jamaa wana matusi sana na asili yao. Ukweli ni kwamba woote hawa wanaopiga kelele sii Wazanzibar kwa asili ni wahamiaji na kama unakumbuka Karume aliwahi kusema wale woote wazazi wao walitoka Ngazija na hawakuukana Ungazija itabidi warusishwe kwao.. Zanzibar nzima iligwaya maana asilimia kubwa ya wakazi wake ni wangazija ambao walikimbia makwao.

Na kiasili hawa watu ni watu wa Msumbiji (Wamakonde) ambako pia walikimbilia visiwa vya Ngazija enzi za Mreno akipambana na Mwarabu..Ikumbukwe tu asili ya ukimbizi kutokana na ugomnvi mkubwa baina ya Mwarabu na Mreno ndio sababu hata ya Zanzibar kuwa chini ya Muingereza maana kama wasingepata hifadhi hiyo Mreno alitaka kuichukua hadi Zanzibar.

Hii ni Historia ya hawa watu japokuwa itawaudhi lakini ndio ukweli na wapo radhi hata kuwekea mashaka Uzawa wa Karume au Mwinyi kuliko Mgazija aliyehamia pale mwaka 1967, huyu ataonekana raia na sababu haswa ni kwamba hawa watu ni kama Gipsy hawana nchi kutokana na asili ya ukimbizi.

Sasa leo wanapokuja kudai Zanzibar ni nchi yao kidogo inanipa mashaka maana hakuna kati yao mwenye asili ya makabila ya Zanzibar - Hakuna maana wameisha mezwa na hawa wageni wengine wana asili ya Yemen na Oman wameoana na kuzalishana na kama kuna mtu anabisha nenda kazungumze na mtu mmoja mmoja muulize asili yake.. Utamsikia huyunakisema mimi Myemen, Mburushi, na mweusi utamsikia Mgazija (MMakonde) na kadhalika tofauti na bara au nchi nyinginezo ambazo unawakuta wakazi wake ni wa makabila ya sehemu hizo...

Waache watukane sana, Muungano hauwezi kuvunjika kwa kelele za hawa watu ambao leo wanaitaka nchi kama Myahudi alohamia Palestina hiyo hiyo wanaitolea mfano. Na kama kweli wanayo nia ya kuvunja serikali ya Zanzibar itapewa Wazazibar wenye asili ya nchi hiyo na wao wataamua kuhusu hawa wageni. Kisha pia wakumbuke kwamba hawa wanaojiita Wazanzibar wakahamia bara itabidi nao wavuliwe Utaifa wao maana ikiwa kweli watru wengine kama sisi tumevuliwa Utaifa wetu kwa sababu tuna Uraia wa nchi nyignine itabidi nao tuwavue tena hakuna swala la uraia wa nchi mbili..

Naiomba serikali ikawize hata swala la Uraia wa nchi mbili hadi pale swala la Zanzibar na Muungano litakapo patiwa ufumbuzi. wawape alternative wachague wenyewe (referendum) tena wao tuu maana matusi mazito yamezidi sana wala wasiseme ubaya wetu nini isipokuwa tu sisi kuwepo kwetu Zanzibar ni sawa na bomba la kinyesi lakinni wao kuwepo bara haizungumziwi. Haya matusi ya kina Jussa na Maalim Seif yamefikia kiwango ambacho hatuwezi tena kuyavumilia.

Sikupenda kukujibu ila nimelazimika kwasababu umepotosha historia ya zanzibar lakini si hilo tu,ukiwa hodari wa kuelezea historia ya zanzibar lakini hujui hata huko nchini kwako kinaendela nini! Mana unaonekana hujui kua uraiya wa nchi mbili unafanyakazi Tanzania sasa na watu tayari wana passport ya TZ na Za nchi nyengine.

Watu kama nyinyi nihatari na ndio unaotutungia historia ambazo hamuzijui hata za kwenu.
 
Sikupenda kukujibu ila nimelazimika kwasababu umepotosha historia ya zanzibar lakini si hilo tu,ukiwa hodari wa kuelezea historia ya zanzibar lakini hujui hata huko nchini kwako kinaendela nini! Mana unaonekana hujui kua uraiya wa nchi mbili unafanyakazi Tanzania sasa na watu tayari wana passport ya TZ na Za nchi nyengine.

Watu kama nyinyi nihatari na ndio unaotutungia historia ambazo hamuzijui hata za kwenu.
Alaaa haya nipe historia ya WAZANZIBAR na sii visiwa vya Zanzibar (nchi) nielewe kwanza.
1. Nambie makabila ya Wazanzibar kama kweli WaYemen, Waburushi na waOman nao wamo.
2. Uraia wa nchi mbili umepitishwa lini?.

Nakuambia hivi mmeniudhi sana kutumia aya za Kuran ktk kuelezea ujinga wenu ulojaa chuki na wabara pasipo hata sababu maana sisi wengine tuna undugu na Wazanzibar wengi tu wenye kututazama sisi kama binaadam na Ummat Muhammad. Ni wanafiki kama nyie mkikaa na kutuita ndugu, kumbe nyuma mnatuona bomba la kinyesi - Nafikuun!
 
Union: Let the people decide

As Tanzanians today mark the 48th anniversary of the unity between Tanganyika and Zanzibar, political analysts are calling for the need to reassess the Union with a view to making it wholly acceptable and convenient.
In interviews with The Citizen yesterday, other respondents said there should be a referendum that would allow people to decide whether they still needed the Union as it approaches five decades of existence. Mr Ismail Jussa, Civic United Front (CUF) deputy secretary general, said the unity was facing a lot of challenges, including "violation of the Articles of the Union".

He noted that when the United Republic of Tanzania came into being on April 26, 1964, there were 11 Articles of the Union, which have, over time, been doubled to 22 without the involvement of the Mainland and Zanzibar people. "The Union accord stipulates that nobody is allowed to change the Articles of the Union without consultation from both parties of the unity, but that accord has been violated," argued Mr Jussa.

According to the Articles of the Union that were later incorporated in the Interim Constitution of the United Republic of Tanzania (1965), 11 matters to be run by the Union Government, include: the Constitution and Government of the United Republic, External Affairs, Defence, Police, Emergency powers, Citizenship, Immigration, External trade and borrowing and the Public service of the United Republic. Others are: Income tax, Corporation tax, Customs and excise duties and harbours, Civil aviation as well as Posts and telegraphs.

However, these have gone up to 22 to include all matters concerning Coinage, Currency for the purpose of legal tender, Banks and all banking business, Foreign exchange and exchange control, Industrial licensing and statistics, Higher education and Mineral oil resources, including crude oil and natural gas. Others are: the National Examinations Council of Tanzania and all matters connected with the functions of the Council, Civil aviation, Research, Meteorology, Statistics, the Court of Appeal of the United Republic and Registration of political parties and other matters related to political parties. Yesterday, Mr Jussa proposed that people should be allowed to decide whether the Union should remain or be disbanded.


For his part, the Singida East MP (Chadema), Mr Tundu Lissu, also called for a referendum to decide the fate of the Union.He said although the new Constitutional Review Act bars wananchi from discussing whether to end the Union or not, Chadema would mobilise people to do just that. He said his party believed that the people were not involved in unifying Tanganyika and Zanzibar. "I don't see this Union surviving as it is, because many things were done in secrecy between Mwalimu Nyerere and his co-founder Sheikh Karume …we need to remove the secrecy so that the people can decide on what to do with the Union," said Mr Lissu.

The legislator, who is also Justice and Constitution Affairs shadow minister, said the Union was dealt a huge blow when Zanzibar adopted a new constitution of its own. He said the Zanzibar Constitution violated the Articles of the Union which stipulate that the Isles are a part of the United Republic of Tanzania and not a sovereign state.

CCM secretary general Wilson Mukama admitted that as the Union is turning 48 years today, there are pending issues that need to be discussed. He cited the matter of oil and gas, which has been under contention for some years now."The issue of oil and gas came under Union matters in 1968 but it is still discussable if we are to have a win-win situation for people from both sides of the Republic," Mr Mukama said.

Reached for comment, the outspoken chairman of the Democratic Party, Rev Christopher Mtikila, said it was important for people to be given the chance to decide if they still want the Union."In any marriage, there should be consent by the two parties involved but sadly, this is not the case with the Tanganyika-Zanzibar union," said Rev Mtikila.

But during the swearing-in ceremony of the Constitutional Review team at State House recently, President Kikwete was quoted as drawing the line on the possible queries on the sovereignty of the United Republic, telling the team not to entertain those whose intention would be to break up the Union between Zanzibar and Mainland Tanzania.

"You should know that this Commission is for the Constitution Review Process and it won't be asking for views on whether or not to split the Union … we cannot break up the Union, but we welcome views on how it can be strengthened," Mr Kikwete said shortly after presiding over the swearing-in of the 34-member Commission. President Kikwete's statement appeared like a cleverly couched message targeting a section of the citizenry that was keen to see the Commission entertain discussions on the status of the Union.

The push is particularly clear in Zanzibar where on April 14, people with huge placards agitating that wananchi should be allowed to give views on the future of the Union picketed outside the House of Representatives.

Union: Let the people decide


 
Mkandara,

..hapa bwana wapewe madaraka kamili wajitawale wanavyotaka.

..Tanganyika is too big and important kukaribisha uvunjifu wa amani kisa tunataka kulinda muungano.

..kwani Mzanzibari yeyote aliyeko Tanganyika akipewa uraia au ukaazi[green card] wa kudumu wa Tanganyika kuna tatizo gani?

..haya mambo msiyachukulie kwa jazba. hata mimi mwanzoni nilikuwa napandwa hasira sana nikisikiliza hoja zao. majority ya hoja zao zimetiwa chumvi.

..Hawa wenzetu have nothing to loose kama wanavyosema wenyewe, sasa sisi wa-Tanganyika tunapaswa kutia akili hapo.
JokaKuu mkuu wangu nasema haya kwa sababu nawajua watu hawa vizuri sana. Ni marafiki zangu na wengine ndugu zangu hawatupendi Wabara na kama wakiwezeshwa watawafukuza Wabara wote Zanzibar na hata kuchoma moto biashara zao wakati wakiwaachia Wataliani wakiendesha biashara za unga na ngono beach zao. Wanapiga kelele sana na bara wakati wanakaribisha vitu vyote visivyokubaliwa ktk Uislaam. Sasa kama nia yao hasa ni kuwa huru sisi wananchi wa bara tunaingiaje ktk siasa maana wanasema siasa ziachwe pembeni ilihali ni siasa hizo hizo zitakazo wapa nafasi ya kudai haki zao.

hatupendi mengi yanayofanywa na serikali yetu as a fact hatuoni faida ya muungano huu kwetu bara zaidi ya kuyalinda Mapinduzi.. Huku majuu Wapemba na Waunguja haziivi labda kuwepo na onyesho la Taarab lakini kijumuiya Mpemba hamuamini Muunguja wala Muunguja hampendi Mpemba. Na wakianza kumalizana nani atakaye wajibika kama sio sisi na hilo vuguvugu la wakimbizi wengine toka visiwani kama mwaka 1963.
 
..hili suala tusipokuwa makini linaweza kusababisha uvunjifu wa amani.

..nadhani chama tawala wakubali tu kwamba muungano hauwezekani kwa kizazi hiki.

..hebu angalieni[kuanzia dakika 13.50] kilichoendelea ktk mkutano wa Uamsho uliofanyika Kidatuni Zanzibar.

Video~ Wazanzibari wakionesha hisia zao ‘kongamano kidutani 2 | Mzalendo.net
:A S 41: HIVI KWA NINI TANGANYIKA IENDELEE KUWABEMBELEZA WAUNGUJA WASIOTAKA MUUNGANO HEBU TUJIULIZE TANGANYIKA TUNANUFAIKA NA NINI KWENYE MUUNGANO HUU KAMA WANAVYOHOJI WAO NINACHOKIONA HAPA WABARA NDIYO TUNAUMIA SANA KUWABEBA WAZANZIBARI HAO KWA MAPATO KWANI UKUBWA WA ZANZIBAR KAMA NCHI NI SAWA NA WILAYA YA KINONDONI KWA TANZANIA BARA JE NANI ANAYENUFAIKA KATIKA MUUNGANO HUU KAMA SIYO WAZANZIBARI? HATA BARA TUMECHOSHWA NA MALALAMIKO YA KILA SIKU JUU YA MUUNGANO HUU NA TUUVUNJE :mad2:
 
Mkuu, tofautisha familia za Karume, Shein, Pandu na ile ya Kibela!
Mkuu, sijakufahamu hapa. Mimi nazungumzia hawa watu wanaomwaga utumbo kwenye video na wengine wa aina hiyo. Imani yangu ni kuwa Wazanzibari wa kweli, sio hawa wa kukodiwa na kutiwa kasumba, wanautaka na wanautetea Muungano. wazanzibari wa kweli hawapingi kuwepo kwa Muungano bali aina ya Muungano, ambapo hata Watanganyika hawaridhiki.

Anyway, lolote linalotokea na linaloweza kutokea linasabbaishwa na wale wanaolazimisha mfumo huu wa Muungano usiokubalika na pande zote mbili; na hilo ndilo linalowapa nafasi hawa wa kukodiwa kuleta chokochoko.
 
Tatizo kubwa ni kutokuwa na elimu ya huu muungano kwani hiyo miaka 48 iliyopita hawakuhusishwa wananchi kuhusu kuungana kwa nchi mbili tofauti.Na hakuna proof ya doc zozote kuonyeshwa mkataba jinsi ulivosainiwa na hatimae baadhi ya viongozi kama mheshimiwa Pinda na wengine wanakataa kama Zanzibar ni nchi ila wanaita ni mkoa.Sasa hili nadhani Wazanzibari limewakasirisha kwasababu nchi yao inaitikadi zao kama zilivo huku kwetu.Na kingine ni viongozi kwasababu wana Raisi lakini huku Kwetu anafahamika kama waziri asiekuwa na wizara maalum.Na hawana waziri wa mambo ya nje,na hawana ruhusa kuomba msaada wa nje na kama wamepata msaada inabidi waombe ruhusa kutoka huku kwetu.Na ndio maana wametaka siku nyingi kuelezwa kuhusu nchi yao na sasa wamechoka wanaona mambo hayaendi sawa.Uchumi wao umeanguka vibaya ukienda Hospitali ya Pemba inatia huruma.Viongozi wao hawana midomo ya kusema wanaogopa sasa wananchi wameamua waungane wadai kuwepo na kura ya maoni.Na kama mnakumbuka kiongozi wa Israel kama sikosei ni Ehud Barak aliwahi kusema Tanzania haiexzist je mnajua kwanini?Kwasababu nchi yetu inaitwa Tanganyika na kule ni Zanzibar zilivoungana wakaita Tanzania.Sidhani kama ilikuwa na ulazima wa kubadilisha jina kwasababu ukiangalia nchi kama ya Uingereza imeungana na Scotland lakini wana viongozi wao,pesa yao,bunge lao na mpaka timu ya Taifa.Sasa kama ingekuwa Muungano wetu ni halali na wa haki sidhani kama Wazanzibari wangetaka uvunjike.Kwasababu wangejitegemea wenyewe na wangekuwa na maamuzi yao wenyewe vile watakavyo.Lakini hawana hata ruhusa ya kuwa na timu yao ya mpira ya Taifa.Na viongozi hawajali kwasababu wanjiimarisha wenyewe na kujenga majumba ya kifahari na wakiumwa wanasafiri kwenda nje kama ilivo huku.Na huku itafika siku watu watachoka vilevile na mtaona watu wanaingia mitaani kama wamisri.Kwahiyo msiwashangae saaana hawa Wazanzibari kwani wamechoka kupata jibu kamili.Mjue kwamba maisha yanabadilika ya zamani ni ya kizamani na sasa ni ya kisasa.Kila mtu anataka kuwa huru na kuona mafanikio ya nchi na sio kuona sura ileile tokea miaka 50 ilyopita ya uhuru.Viongozi sura ni hizo kwa hizo miaka nenda rudi na maisha ni hayo kwa hayo umeme zero maji safi zero??????????????? Msiahangae waacheni tu.Ila namshukuru muheshimiwa Rais kwa uhuru wa kuongea tutakacho ni tofauti na maraisi wengine.
 
Union: Let the people decide

As Tanzanians today mark the 48th anniversary of the unity between Tanganyika and Zanzibar, political analysts are calling for the need to reassess the Union with a view to making it wholly acceptable and convenient.
In interviews with The Citizen yesterday, other respondents said there should be a referendum that would allow people to decide whether they still needed the Union as it approaches five decades of existence. Mr Ismail Jussa, Civic United Front (CUF) deputy secretary general, said the unity was facing a lot of challenges, including "violation of the Articles of the Union".

He noted that when the United Republic of Tanzania came into being on April 26, 1964, there were 11 Articles of the Union, which have, over time, been doubled to 22 without the involvement of the Mainland and Zanzibar people. "The Union accord stipulates that nobody is allowed to change the Articles of the Union without consultation from both parties of the unity, but that accord has been violated," argued Mr Jussa.

According to the Articles of the Union that were later incorporated in the Interim Constitution of the United Republic of Tanzania (1965), 11 matters to be run by the Union Government, include: the Constitution and Government of the United Republic, External Affairs, Defence, Police, Emergency powers, Citizenship, Immigration, External trade and borrowing and the Public service of the United Republic. Others are: Income tax, Corporation tax, Customs and excise duties and harbours, Civil aviation as well as Posts and telegraphs.

However, these have gone up to 22 to include all matters concerning Coinage, Currency for the purpose of legal tender, Banks and all banking business, Foreign exchange and exchange control, Industrial licensing and statistics, Higher education and Mineral oil resources, including crude oil and natural gas. Others are: the National Examinations Council of Tanzania and all matters connected with the functions of the Council, Civil aviation, Research, Meteorology, Statistics, the Court of Appeal of the United Republic and Registration of political parties and other matters related to political parties. Yesterday, Mr Jussa proposed that people should be allowed to decide whether the Union should remain or be disbanded.


For his part, the Singida East MP (Chadema), Mr Tundu Lissu, also called for a referendum to decide the fate of the Union.He said although the new Constitutional Review Act bars wananchi from discussing whether to end the Union or not, Chadema would mobilise people to do just that. He said his party believed that the people were not involved in unifying Tanganyika and Zanzibar. "I don't see this Union surviving as it is, because many things were done in secrecy between Mwalimu Nyerere and his co-founder Sheikh Karume …we need to remove the secrecy so that the people can decide on what to do with the Union," said Mr Lissu.

The legislator, who is also Justice and Constitution Affairs shadow minister, said the Union was dealt a huge blow when Zanzibar adopted a new constitution of its own. He said the Zanzibar Constitution violated the Articles of the Union which stipulate that the Isles are a part of the United Republic of Tanzania and not a sovereign state.

CCM secretary general Wilson Mukama admitted that as the Union is turning 48 years today, there are pending issues that need to be discussed. He cited the matter of oil and gas, which has been under contention for some years now."The issue of oil and gas came under Union matters in 1968 but it is still discussable if we are to have a win-win situation for people from both sides of the Republic," Mr Mukama said.

Reached for comment, the outspoken chairman of the Democratic Party, Rev Christopher Mtikila, said it was important for people to be given the chance to decide if they still want the Union."In any marriage, there should be consent by the two parties involved but sadly, this is not the case with the Tanganyika-Zanzibar union," said Rev Mtikila.

But during the swearing-in ceremony of the Constitutional Review team at State House recently, President Kikwete was quoted as drawing the line on the possible queries on the sovereignty of the United Republic, telling the team not to entertain those whose intention would be to break up the Union between Zanzibar and Mainland Tanzania.

"You should know that this Commission is for the Constitution Review Process and it won't be asking for views on whether or not to split the Union … we cannot break up the Union, but we welcome views on how it can be strengthened," Mr Kikwete said shortly after presiding over the swearing-in of the 34-member Commission. President Kikwete's statement appeared like a cleverly couched message targeting a section of the citizenry that was keen to see the Commission entertain discussions on the status of the Union.

The push is particularly clear in Zanzibar where on April 14, people with huge placards agitating that wananchi should be allowed to give views on the future of the Union picketed outside the House of Representatives.

Union: Let the people decide


Andika kwa kiswahili usitupotezee muda wa kufikiria tafsiri!!!! Nimeona Jussa ivo Wadanganyika mnachuki na Jussa hamuoni kama mnampandisha chati, huyu kwa Wazenji ni shujaaa mkubwa kuliko Nyerere.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom