teh teh teh...haoni aibu...
hahahahaha...akale wapi huyo koplo? mwacheni tu...nasikia hiyo ilikuwa ni hela ya mafuta ya gari (defender la polisi)Wakubwa wanakula rushwa nene nene wadogo wanakula rushwa ndogo ndogo
hapana, hiko kitakuwa cha magomenihichi ni kituo chA POLISI -KIMARA
koplohuyo askari si atakuwa na cheo kikubwa! hizo alama za v zinamaanisha ana cheo gani?
mmechemka?? hakuna anayejua hiki ni kituo cha wapi?