Asiyeisikiliza hii atakuwa na lake jambo......................Ung ebadili heading kuwa MH . msigwa anahitajiwa na wananchi wa Kenya.........maana wachangiaji wengi wanataka aende kenya eti.........akalisaidie bunge la Kenya
Kasumba ya chama kimoja na hata mawazo ya kikoloni hayajatoka vichwani mwa watu,watanzania tubadilike kuwa na mawazo mbadala sio dhambi, ndio kitu pekee kilichoinua dunia hii kimaendeleo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.