Victor Byemerwa: Rais aliyepinduliwa Humanities UDOM kwa kushindwa kuwatumikia wanafunzi

Tuelekeze mjadala kwenye hoja na sio ooooohhh chuo cha kata ooohh mwandiko.. Inawezekana ikawa ni makosa ya kibinadamu ambayo ni ya kawaida na tunatofautiana kutoka mtu mmoja na mwingine lakini unapochangia jiepushe na kasumba kwa ulisoma udsm, mzumbe au sua na kusema udom chuo cha kata wanafunzi wake ni division 5, utakuwa unakosea sana kwa mtu mmoja hawezi akawakilisha wanafunzi zaidi ya elfu 20. kwa hiyo jiepushe na inductive reasoning... UDOM nadhani ni taasisi kubwa huwezi conclude kuwa huyo mtoa mada hawezi kuwakilisha wanafuzi wa UDOM
 
Jamani humu kusitumike kama mitandao yakijamii like Facebook and instagram... Tunacho changia kiwe kina refrect kua tumeelimika
 
Isaya Nehemia umeeleweka vema, kwa hyo huyu mleta mada ni gamba ambalo linataka mtu wao wa Ccm aingie madarakani na kuwa Rais, komaeni kuondoa huo uhuni wa hawa majamaa
Haya magamba hayataki kukubali kuwa yalishindwa na huyu jamaa ndo maana yanakuja na hizi figisu figisu kwa msaa wa utawala mkuu wa chuo.
 
Majina yale ya watu mliokusanya kwa ma CR na kutoka kwny assignment ndo wamepiga kura ya kutokuwa na imani? Huu ni uongo na ugomvi hapa ni kuwa CCM hawamtaki huyu rais kwa kuwa ni CHADEMA huu ndo ugomvi sio hizo propaganda. Mimi ni mwafunzi wa hapa HUMANITIES na najua vizuri ugomvi huu.
Simiyu Yetu amesema huyo jamaa ni mnyarwanda sasa huko chadema amefikaje?
 
jamani dungu zangu kumbukeni kulitunza boom maisha baada ya chuo ni magumu sana na inabdi ujitoe akiri kiaina kwa kupigana kitaa sio uje na begi two hakuna mtu utakae mwimbia ngojera ya ooooh sijui nmesoma mimi oooh nilikuwa rais baadae uje uniombe hela ya chips kavu bt mpe pole prezdaa
 
Kitendo cha kuingiza vyama vyuoni madhara yake ndio haya.Badala ya kusoma wanafunzi wanaendekeza biashara ya vyama.Wanafunzi washauriwe kuwa siasa wataikuta uraiani baada ya kumaliza masomo.
 
CCM ni kina nani ktk vyuo Tanzania hii. Mbona ninaona kama ndio chanzo cha mtafaruku ktk vyuo vingi ?
 
NIMEICOPY KAMA ILIVYO

HUYU NDIYE JOSIAS CHARLES KIGEUGEU NA MWANZILISHI WA MGOGORO HUMANITY

Soma kwa makini utajua ukweli.

Kuna usemi unasema "mwenye busara akinyamaza anaupa nafasi upumbavu" sio nia yangu kutukana bali ni mapenzi ya dhati kueleza ukweli ninaoujua kwa kuweka unafiki pembeni kwani sijalelewa katika misingi ya kupindisha ukweli. Nikiwa kama rafiki mkubwa na wa muhimu wa Charles Josias katibu mkuu wa shirikisho serikali ya wanafunzi UDOM ni bora nieleze umma ujue huyu ni mtu wa aina gani.

Nimepitia makala aliyoiandika anayejiita Farouk kuhusu Josias nikaamin kuwa sio Farouk bali ni mhusika mwenyewe Josias ndiye kajiandika ili kuupindisha ukweli wa anachokifanya kwa sasa UDOM kwa kujivika wema kupitia harakati zilizofanyika kipindi cha nyuma COED. Nitakuwa mnafiki kubeza mchango wake ktk kutetea haki za wanafunzi mwaka jana kuanzia mgomo wa COED na mapinduzi ya John Nzilanyingi japo kuna watu nyuma yake walioweza kusaidia na kufanikisha hili (Mungu akujalie neema zake popote ulipo Simon Mpandalume).

Kinachoendelea Humanity na ushiriki wa Josias ktk hili sio kutetea wanafunzi bali kutimiza matakwa binafsi ambayo msingi wake ni chuki baina Josias na Victor Byemerwa rais wa humanity.

Nakumbuka mchakato wa kumpitisha Katibu mkuu wa federation ulighubikwa na misukosuko mingi, aliyesimama na kutetea kwa nguvu kubwa kupitishwa kwa GS(General Secretary) ambaye kwa sasa ni Josias alikuwa victor baada ya mwenyekiti wa council kuahirisha kikao cha kumpitisha GS ili mpaka pale litakapoletwa jina jingine tofauti na la Josias. Mimi na rafiki yngu Josias pamoja na Emanuel Amos naibu Spika COED tulishauliana saana juu ya kitendo kilichotokea cha kuahilisha kikao na hivyo kuamua kutafuta uungwaji mkono wa wajumbe wa council ili kuomba kikao kiitishwe mara moja apitishwe kiongozi tunaemtaka sisi wanafunzi. Aliyekuwa wa kwanza kutuunga mkono na kumtaka mara moja rais wa federetion kubadili maamuzi ya kuahirisha kikao ni Victor Byemerwa rais wa humanity wa pili ni Robert Charles rais wa COED na baadae kuungwa mkono na raisi wa COES Mangesho Winston. Kwa sababu tulimtaka kiongozi anayetetea maslahi ya wanafunzi. Kulikuwepo mgogoro mkubwa tangu serikali zilizopita kati ya federation na colleges kuhusu namna ya ukusanyaji wa malipo ya UDOSO members fee kwenda account ya federation na kisha federation ichukue 10% ya mapato na kuigawia college college 90% badala ya college ikusanye kisha igawie federation 10%. Mgongano huu ulikuja baada ya serikali ya federation kuiibia serikali ya humanity kiasi cha million 11 kipindi cha serikali ya Lutelano baada ya aliyekuwa rais wa humanity mh Masatu na Waiziri mkuu wake Philipo Mwakibinga kusitishwa masomo.

Charles Josias aliahidi kutimiza hilo na kutuhakikishia kuwa atetea hiyo hoja malipo ya UDOSO yawe yanakusanywa ktk accounts za colleges na baadae federation inapokea 10% kutoka kwenye college. Makubaliano yakawa hayo baina ya maraisi pamoja na wajumbe baadhi kuwa Rais wa federation aitishe kikao mara moja ili council ifanye maamuzi ya msingi yanayotetea maslahi ya umma kwa kumpitisha kiongozi mpambanaji.

Kwa busara za mh Ezekiel Chard rais wa federation aliamua kuitisha kikao cha council kumptisha katibu mkuu. Hivyo ilipofikia agenda ya kumpitisha katibu mkuu, jina teule lililoletwa ni la Josias Charles na hivyo kumtaka ajieleze na kuomba kura kwa wajumbe, sera kuu iliyomfanya apitishwe bila kupingwa kwa kura zote 37 za ndio za wajumbe ni hoja ya makusanyo ya UDOSO members fee yakusanywe ktk account ya college husika na kisha federation iwe inapokea 10% tuu kutoka college na hivyo wajumbe wote kumkubali na kuamini ni mtetezi wa kweli wa haki za wanafunzi, kikao hicho kilifanyika trh 20/06/2015 informatics.

Mambo yalikuwa tofauti baada ya Josias kuwasaliti wajumbe wa council na kupinga vikali suala la makusanyo ya mapato kupitia account za college. Zaidi aliendelea kutoa onyo kali kwa rais wa college yoyote kuendelea kuzungumzia juu ya makusanyo ya pesa atachukuliwa hatua kali. Victor Byemelwa rais wa humanity alikuwa wa kwanza kupinga unafiki wa Josias na vitisho anavyovitoa juu ya marais wote. Aliamua kutumia vifungu vya katiba ambavyo kwake vilimlinda na kuitangaza account ya college yake kuwa malipo ya UDOSO kwa upande wa college yake yafanyike kwnye account ya college na sio federation. Kilichoendelea baada ya hapo yeyote ambaye ni mjumbe wa council anaweza kushuhudia nini kiliendelea mpaka kupelekea kuvunjwa kwa grup la whatsapp "ONLINE UDOSO COUNCIL" dhidi ya vitisho na matusi aliyokuwa akiyatoa Josias kwa rais wa humanity Victor pamoja na waziri mkuu wake Oscar Kapalale. Baadae grup liliundwa tena na Josias alinyanganywa uadimin kwan alikuwa naendesha grup kibabe na kujifanya yeye ndiye rais wa federation alihali rais yupo. Mpaka sasa ninavozungumza Oscar Kapale pamoja na Victor sio members wa hilo grup kwani walitokea kujenga mjadal mzito saana miongoni mwao na Josias na hivyo kuivuruga council nzima.

Josias aliamua kulipiza kisasi kwa kuingilia utendaji kazi wa Victor ktk serikali yke kwa kufanikiwa kupandikiza migogoro kati ya bunge pamoja na serikali. Mgogoro wa kwanza ulitokea baada ya kutokuwepo makubaliano kati ya bunge na serikali ya Victor juu ya bajeti ya malipo ya kuwapokea mwaka wa kwanza. Bunge liliitisha kikao cha kujadili hilo suala huku rafiki yangu Josias tukiwa COED aliniaga akiniambia kuwa ""nisindikize naenda humanity leo nahakikisha bunge la humanity linapiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu Oscar Kapakale, kama unavojua nilikwambia sitokubali Victor aendelee kuwepo madarakan kwani aliamua kupambana na mimi"" nilikuwa kinyume nae nikamwambia sioni sababu ya msingi ya kufanya hivo kwani mimi ni rafiki yke naijua dhima yake nini pia si jambo la haki kufanya hivo. Mpango huo ulikwama na hivyo kuamua kufanya mipango mingine.

Miongoni mwa mbinu alizoanza kutumia, mojawapo ni kuhakikisha serikali ya Victor haiwi imara kwa kuitengenezea migogoro badala ya kuwa msuluhishaji wa hiyo migogoro kwani wote tunajua kuwa serikali ili iweze kuwa imara ni lazima kuwepo ushirikiano kati ya bunge, baraza la mawaziri pamoja na X_com kwa muundo wa serikali zetu za UDOSO. Pili kupitia hoja ya Uchama na ukambi kipindi cha kampen zao za urais humanity, alifanikiwa kutengeneza uadui kwani wabunge wengi hawakuwa kambi ya Victor wakati wa uchaguzi.

CHUKI INAJIDHIHIRISHA HIVI..
Katika college ya CHAS bunge kupitia wanafunzi waliamua kumwajibisha rais wao kwa kumtoa madarakan, lakin wew uliingilia na kufanya suluhu tena kwa kuivunja katiba kwa kuingia bungeni pasipo mwaliko wowote na ukamua kuongea na kuwatisha wabunge wa CHAS wakashindwa kufanya maamuzi ya kumuondoa raisi wao ambaye kimsingi alifanya makosa yaliyothibitika kwa umma na yeye kukiri kuyafanya hayo makosa. Ulifanya hivyohivyo COES baada ya bunge lao kufanya maamuzi ya kumuondoa waziri mkuu, ukaamua kuingilia kati tena kwa kuivunja katiba na kubatilisha mchakato wao. JOSIAS, KAMA WEWE NI MTETEZI WA WANAFUNZI MBONA HUJAFANYA HIVYO KWA HUMANITY KAMA ULIVOFANYA COLLEGE NYINGINE??. Badala ya kuliunganisha bunge na serikali wew unatumia mwanya huo kuwagonganisha wanafunzi na serikali yao hadi unavunja sheria kwa kwenda kuitisha mikutano humanity ya kupindua serikali. Zaidi unaapa kuwa utakuwa bega kwa bega kuhakikisha wanatekeleza na unaomba nguvu ya utawala...Duuh hii ni chuki iliyopitiliza mipaka ndugu yangu!!!.

Hivi kuna serikali gani ambayo haina mapungufu, kuna mambo mangapi yamekuwa umakuwa ukifanya kimakosa afu hujichukulii hatua?? Kama kigezo cha kumtoa Victor madarakan ni tatizo la mkopo hivi ni college gani isiyokubwa na tatizo hilo, kama kama tatizo la kumtoa Victor madarakan ni makazi mabovu hasa ktk vyoo na ukosefu wa maji, mbona block H ambalo unaishi linamatatizo kibao vyoo vimeziba maji yanatoka kwa shida floor nzima kinatumika Choo kimoja au nalo unataka umchukulie hatua rais wako COED, kuna tatizo la Victor ni kushindwa kusimamamia usajili wanafunzi wa COED washuhudie zoezi la usajili lilimalizika kwa muda gani? Kumbuka kuna matatizo ya chuo chetu uamegawanyika ktk sehemu tatu, kuna yale yanayosababishwa na serikali ya wanafunzi kutokuwa imara, yale yanayosababishwa na utawala pamoja na matatizo yanayosababishwa na serikali kuu ya nchi. Leo hii victor tunamuhukumu hata kwa mambo ambayo yako nje ya uwezo wake kuyatatua.

WANAFUNZI WA HUMANITY JIULIZE HAYA..
Jana nilifanikiwa kufika na kushuhudia mkutano ulioitishwa na wabunge humanity. Jiulize kwa nini Spika wa bunge hakutoa nafasi kwa Victor ajieleze na hivyo kupelekea nyie kusikiliza maoni ya upande mmoja???..., je, kwanini Spika aliamua kuahirisha mkutano baada yeye kuwauliza mnamtaka nani awe rais na baadhi yenu kusema mnamtaka CHUWA kisha akabatilisha na kusema bunge ndilo lishikilie serikali na baadae litaunda tume ya uchaguzi na kupelekea sintofahamu na baadhi yao kutokuelewa kinachoendelea na kuamua kutawanyika???... Kama tatizo la serikali ya victor ni kushindwa kupitisha bajeti, waulize ni college ngapi zimeshapitisha budget mpaka sasa???
Wanahumanity zinduka kuna kitu nyuma ya pazia ambacho msingi wake ni chuki binafsi, uroho wa madaraka, ukambi na uchama ndani yake. Ambapo pandikizi la huu mgogoro ni kiongozi mkubwa wa federation CHARLES JOSIAS katibu mkuu wa shirikisho la UDOM.

N.B..atakayekanusha hili ama kujifanya anaujua ukweli zaidi au kama wew rafiki yangu Josias unakataa basi kanusha ama kubali kwanza kama kweli wew ni rafiki yangu wa dhati ninaekujua kuliko yeyote hapa chuoni.

BY NDABOINE VERIUS

Mjumbe wa baraza la shirikisho(UDOSO COUNCIL) pamoja na rafiki mkubwa wa Charles Josias.
 
NIMEICOPY KAMA ILIVYO

HUYU NDIYE JOSIAS CHARLES KIGEUGEU NA MWANZILISHI WA MGOGORO HUMANITY

Soma kwa makini utajua ukweli.

Kuna usemi unasema "mwenye busara akinyamaza anaupa nafasi upumbavu" sio nia yangu kutukana bali ni mapenzi ya dhati kueleza ukweli ninaoujua kwa kuweka unafiki pembeni kwani sijalelewa katika misingi ya kupindisha ukweli. Nikiwa kama rafiki mkubwa na wa muhimu wa Charles Josias katibu mkuu wa shirikisho serikali ya wanafunzi UDOM ni bora nieleze umma ujue huyu ni mtu wa aina gani.

Nimepitia makala aliyoiandika anayejiita Farouk kuhusu Josias nikaamin kuwa sio Farouk bali ni mhusika mwenyewe Josias ndiye kajiandika ili kuupindisha ukweli wa anachokifanya kwa sasa UDOM kwa kujivika wema kupitia harakati zilizofanyika kipindi cha nyuma COED. Nitakuwa mnafiki kubeza mchango wake ktk kutetea haki za wanafunzi mwaka jana kuanzia mgomo wa COED na mapinduzi ya John Nzilanyingi japo kuna watu nyuma yake walioweza kusaidia na kufanikisha hili (Mungu akujalie neema zake popote ulipo Simon Mpandalume).

Kinachoendelea Humanity na ushiriki wa Josias ktk hili sio kutetea wanafunzi bali kutimiza matakwa binafsi ambayo msingi wake ni chuki baina Josias na Victor Byemerwa rais wa humanity.

Nakumbuka mchakato wa kumpitisha Katibu mkuu wa federation ulighubikwa na misukosuko mingi, aliyesimama na kutetea kwa nguvu kubwa kupitishwa kwa GS(General Secretary) ambaye kwa sasa ni Josias alikuwa victor baada ya mwenyekiti wa council kuahirisha kikao cha kumpitisha GS ili mpaka pale litakapoletwa jina jingine tofauti na la Josias. Mimi na rafiki yngu Josias pamoja na Emanuel Amos naibu Spika COED tulishauliana saana juu ya kitendo kilichotokea cha kuahilisha kikao na hivyo kuamua kutafuta uungwaji mkono wa wajumbe wa council ili kuomba kikao kiitishwe mara moja apitishwe kiongozi tunaemtaka sisi wanafunzi. Aliyekuwa wa kwanza kutuunga mkono na kumtaka mara moja rais wa federetion kubadili maamuzi ya kuahirisha kikao ni Victor Byemerwa rais wa humanity wa pili ni Robert Charles rais wa COED na baadae kuungwa mkono na raisi wa COES Mangesho Winston. Kwa sababu tulimtaka kiongozi anayetetea maslahi ya wanafunzi. Kulikuwepo mgogoro mkubwa tangu serikali zilizopita kati ya federation na colleges kuhusu namna ya ukusanyaji wa malipo ya UDOSO members fee kwenda account ya federation na kisha federation ichukue 10% ya mapato na kuigawia college college 90% badala ya college ikusanye kisha igawie federation 10%. Mgongano huu ulikuja baada ya serikali ya federation kuiibia serikali ya humanity kiasi cha million 11 kipindi cha serikali ya Lutelano baada ya aliyekuwa rais wa humanity mh Masatu na Waiziri mkuu wake Philipo Mwakibinga kusitishwa masomo.

Charles Josias aliahidi kutimiza hilo na kutuhakikishia kuwa atetea hiyo hoja malipo ya UDOSO yawe yanakusanywa ktk accounts za colleges na baadae federation inapokea 10% kutoka kwenye college. Makubaliano yakawa hayo baina ya maraisi pamoja na wajumbe baadhi kuwa Rais wa federation aitishe kikao mara moja ili council ifanye maamuzi ya msingi yanayotetea maslahi ya umma kwa kumpitisha kiongozi mpambanaji.

Kwa busara za mh Ezekiel Chard rais wa federation aliamua kuitisha kikao cha council kumptisha katibu mkuu. Hivyo ilipofikia agenda ya kumpitisha katibu mkuu, jina teule lililoletwa ni la Josias Charles na hivyo kumtaka ajieleze na kuomba kura kwa wajumbe, sera kuu iliyomfanya apitishwe bila kupingwa kwa kura zote 37 za ndio za wajumbe ni hoja ya makusanyo ya UDOSO members fee yakusanywe ktk account ya college husika na kisha federation iwe inapokea 10% tuu kutoka college na hivyo wajumbe wote kumkubali na kuamini ni mtetezi wa kweli wa haki za wanafunzi, kikao hicho kilifanyika trh 20/06/2015 informatics.

Mambo yalikuwa tofauti baada ya Josias kuwasaliti wajumbe wa council na kupinga vikali suala la makusanyo ya mapato kupitia account za college. Zaidi aliendelea kutoa onyo kali kwa rais wa college yoyote kuendelea kuzungumzia juu ya makusanyo ya pesa atachukuliwa hatua kali. Victor Byemelwa rais wa humanity alikuwa wa kwanza kupinga unafiki wa Josias na vitisho anavyovitoa juu ya marais wote. Aliamua kutumia vifungu vya katiba ambavyo kwake vilimlinda na kuitangaza account ya college yake kuwa malipo ya UDOSO kwa upande wa college yake yafanyike kwnye account ya college na sio federation. Kilichoendelea baada ya hapo yeyote ambaye ni mjumbe wa council anaweza kushuhudia nini kiliendelea mpaka kupelekea kuvunjwa kwa grup la whatsapp "ONLINE UDOSO COUNCIL" dhidi ya vitisho na matusi aliyokuwa akiyatoa Josias kwa rais wa humanity Victor pamoja na waziri mkuu wake Oscar Kapalale. Baadae grup liliundwa tena na Josias alinyanganywa uadimin kwan alikuwa naendesha grup kibabe na kujifanya yeye ndiye rais wa federation alihali rais yupo. Mpaka sasa ninavozungumza Oscar Kapale pamoja na Victor sio members wa hilo grup kwani walitokea kujenga mjadal mzito saana miongoni mwao na Josias na hivyo kuivuruga council nzima.

Josias aliamua kulipiza kisasi kwa kuingilia utendaji kazi wa Victor ktk serikali yke kwa kufanikiwa kupandikiza migogoro kati ya bunge pamoja na serikali. Mgogoro wa kwanza ulitokea baada ya kutokuwepo makubaliano kati ya bunge na serikali ya Victor juu ya bajeti ya malipo ya kuwapokea mwaka wa kwanza. Bunge liliitisha kikao cha kujadili hilo suala huku rafiki yangu Josias tukiwa COED aliniaga akiniambia kuwa ""nisindikize naenda humanity leo nahakikisha bunge la humanity linapiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu Oscar Kapakale, kama unavojua nilikwambia sitokubali Victor aendelee kuwepo madarakan kwani aliamua kupambana na mimi"" nilikuwa kinyume nae nikamwambia sioni sababu ya msingi ya kufanya hivo kwani mimi ni rafiki yke naijua dhima yake nini pia si jambo la haki kufanya hivo. Mpango huo ulikwama na hivyo kuamua kufanya mipango mingine.

Miongoni mwa mbinu alizoanza kutumia, mojawapo ni kuhakikisha serikali ya Victor haiwi imara kwa kuitengenezea migogoro badala ya kuwa msuluhishaji wa hiyo migogoro kwani wote tunajua kuwa serikali ili iweze kuwa imara ni lazima kuwepo ushirikiano kati ya bunge, baraza la mawaziri pamoja na X_com kwa muundo wa serikali zetu za UDOSO. Pili kupitia hoja ya Uchama na ukambi kipindi cha kampen zao za urais humanity, alifanikiwa kutengeneza uadui kwani wabunge wengi hawakuwa kambi ya Victor wakati wa uchaguzi.

CHUKI INAJIDHIHIRISHA HIVI..
Katika college ya CHAS bunge kupitia wanafunzi waliamua kumwajibisha rais wao kwa kumtoa madarakan, lakin wew uliingilia na kufanya suluhu tena kwa kuivunja katiba kwa kuingia bungeni pasipo mwaliko wowote na ukamua kuongea na kuwatisha wabunge wa CHAS wakashindwa kufanya maamuzi ya kumuondoa raisi wao ambaye kimsingi alifanya makosa yaliyothibitika kwa umma na yeye kukiri kuyafanya hayo makosa. Ulifanya hivyohivyo COES baada ya bunge lao kufanya maamuzi ya kumuondoa waziri mkuu, ukaamua kuingilia kati tena kwa kuivunja katiba na kubatilisha mchakato wao. JOSIAS, KAMA WEWE NI MTETEZI WA WANAFUNZI MBONA HUJAFANYA HIVYO KWA HUMANITY KAMA ULIVOFANYA COLLEGE NYINGINE??. Badala ya kuliunganisha bunge na serikali wew unatumia mwanya huo kuwagonganisha wanafunzi na serikali yao hadi unavunja sheria kwa kwenda kuitisha mikutano humanity ya kupindua serikali. Zaidi unaapa kuwa utakuwa bega kwa bega kuhakikisha wanatekeleza na unaomba nguvu ya utawala...Duuh hii ni chuki iliyopitiliza mipaka ndugu yangu!!!.

Hivi kuna serikali gani ambayo haina mapungufu, kuna mambo mangapi yamekuwa umakuwa ukifanya kimakosa afu hujichukulii hatua?? Kama kigezo cha kumtoa Victor madarakan ni tatizo la mkopo hivi ni college gani isiyokubwa na tatizo hilo, kama kama tatizo la kumtoa Victor madarakan ni makazi mabovu hasa ktk vyoo na ukosefu wa maji, mbona block H ambalo unaishi linamatatizo kibao vyoo vimeziba maji yanatoka kwa shida floor nzima kinatumika Choo kimoja au nalo unataka umchukulie hatua rais wako COED, kuna tatizo la Victor ni kushindwa kusimamamia usajili wanafunzi wa COED washuhudie zoezi la usajili lilimalizika kwa muda gani? Kumbuka kuna matatizo ya chuo chetu uamegawanyika ktk sehemu tatu, kuna yale yanayosababishwa na serikali ya wanafunzi kutokuwa imara, yale yanayosababishwa na utawala pamoja na matatizo yanayosababishwa na serikali kuu ya nchi. Leo hii victor tunamuhukumu hata kwa mambo ambayo yako nje ya uwezo wake kuyatatua.

WANAFUNZI WA HUMANITY JIULIZE HAYA..
Jana nilifanikiwa kufika na kushuhudia mkutano ulioitishwa na wabunge humanity. Jiulize kwa nini Spika wa bunge hakutoa nafasi kwa Victor ajieleze na hivyo kupelekea nyie kusikiliza maoni ya upande mmoja???..., je, kwanini Spika aliamua kuahirisha mkutano baada yeye kuwauliza mnamtaka nani awe rais na baadhi yenu kusema mnamtaka CHUWA kisha akabatilisha na kusema bunge ndilo lishikilie serikali na baadae litaunda tume ya uchaguzi na kupelekea sintofahamu na baadhi yao kutokuelewa kinachoendelea na kuamua kutawanyika???... Kama tatizo la serikali ya victor ni kushindwa kupitisha bajeti, waulize ni college ngapi zimeshapitisha budget mpaka sasa???
Wanahumanity zinduka kuna kitu nyuma ya pazia ambacho msingi wake ni chuki binafsi, uroho wa madaraka, ukambi na uchama ndani yake. Ambapo pandikizi la huu mgogoro ni kiongozi mkubwa wa federation CHARLES JOSIAS katibu mkuu wa shirikisho la UDOM.

N.B..atakayekanusha hili ama kujifanya anaujua ukweli zaidi au kama wew rafiki yangu Josias unakataa basi kanusha ama kubali kwanza kama kweli wew ni rafiki yangu wa dhati ninaekujua kuliko yeyote hapa chuoni.

BY NDABOINE VERIUS

Mjumbe wa baraza la shirikisho(UDOSO COUNCIL) pamoja na rafiki mkubwa wa Charles Josias.
Jina la huyo mwandishi linatia shaka kama ni mtanzania.
 
Isaya Nehemia umeeleweka vema, kwa hyo huyu mleta mada ni gamba ambalo linataka mtu wao wa Ccm aingie madarakani na kuwa Rais, komaeni kuondoa huo uhuni wa hawa majamaa
Anzeni kwanza kuelezea humanity ni nini? Raisi wa chuo au? Elezea ndo uendelee. Wengine hatujapita chuo chenu hicho
 
Anzeni kwanza kuelezea humanity ni nini? Raisi wa chuo au? Elezea ndo uendelee. Wengine hatujapita chuo chenu hicho
Inaonesha UDOM Ina Raisi kila College. Angalieni katiba yenu. Wangekuwa wenyeviti then chuo ndo Raisi. Jipangeni
 
Mwandishi anaonesha hata chuo chenyewe inabidi kipinduliwe maana hamna kitu wanachojifunza. Anaandika kama mwanafunzi wa kidato cha nne. Hivi vyuo sasa viwe vinakaguliwa maana ni vya hatari sana kuzalisha watu wa hovyo namna hii. Wanaokuja kujaza server na thread za kipuuzi. Tatizo udom imechukua division 5 nying sana. Ni chuo cha kata.
Tatizo siasa chuo kikuu ni ujinga....udom...uongozi haufai pamejaa ubadhilifu wa hali ya juu miundombinu muhim kama vyoo vya lecture room,thietres, havifai matumizi ya binadamu tena wasomi wazima.hii ni aibuu sana na bado kmezidi kushuka daraja..cyo university bora tu tu kngeitwa collage of dodoma yan kutoka nafasi ya 4 mwaka 2014 lakini saiv ni cha 11 Tanzania..google uone..andika 20best universities in Tanzania 2015/2016.
 
Back
Top Bottom