Victor Byemerwa: Rais aliyepinduliwa Humanities UDOM kwa kushindwa kuwatumikia wanafunzi

Kwani chuo si kinakuwa raisi mmoja hapa imekuwaje naona Kama wametajwa maraisi wengiwengi.
Huyo Raisi alietajwa ni wa College ya Humanities....in short kila college ina raisi wake then kuna Raisi mmoja ambae anaitwa Raisi wa Federation... yeye anaunganisha college zote......nadhan umenipata
 
maandishi wa mada hii ndiye katibu wa shirikisho chuo kikuu cha Dodoma na ndiye anayetuhumiwa kuchochea mgogoro huu, na hatimaye kumletea matatizo makubwa mwanafunzi mwenzake, tukiacha hayo ya kuachishwa urais. Josias Charles unayoyafanya kwa kutaka kupendwa na watawala siyo mazuri kwani nafsi yako itakuhukumu
 
Tatizo la Udom ni siasa pumba....yani uongozi wote kuanzia utawala mkuu hadi kwa wanafunzi ni siasa zsizo maana. ni sana unasikia na kushuhudia wakufunzi wa udom wanagoma kuwa hawajalipwa fedha zao
 
Hapo kuna majipu makubwa sana tena hadi yananuka uozo ukianzia busha la utawala hadi kwenye serikali ya wanafunzi ni uozo.....Tatizo ni siasa yani udom si chuo kikuu bt ni mahali pa watu kufanya ubadhilifu wa pesa za serikali na za wanafunzi. ......eti bima ya afya sh.100000 bila aibu wakachukua hizo pesa hakuna aliyepewa bima.....narudia tena ni kituo cha siasa pumba ufisadi,ubadhilifu wa mali ya umma (Loan Board....HESLB )
 
kama hujui humanities nyamaza mbw ww watoto fb mnatusumbua humu bila shaka umejua smart kutumia mwaka huu
sasa wewe tahaaira matus ya nn naitaj kujua kama hutak nijue kaa kimya sio kuongea upuuz kama mwehu kwan kila mtu kasoma udom au kasoma chuo
 
kama hujui humanities nyamaza mbw ww watoto fb mnatusumbua humu bila shaka umejua smart kutumia mwaka huu
nimepitia profile yako kumbe toto dogo tu ndio kwanza umehitimu diploma udom pole sana ni baba wa watoto 6 mtoto wa kwanza anamiaka 32 wewe utakua ni mtoto wangu kwa vyovyote kwaher
 
Siasa za vyuo ni ngumu sana hasa vyama vinapoingilia kati. Nina hakika hapo issue sio maslahi ya wanafunzi bali kuna mgongano wa kichama au makundi ndani ya chama.

Ingewezekana ukatupatia na uanachama wao ili kubaini chanzo cha mgogoro baina ya watu hawa.
 
Tuelekeze mjadala kwenye hoja na sio ooooohhh chuo cha kata ooohh mwandiko.. Inawezekana ikawa ni makosa ya kibinadamu ambayo ni ya kawaida na tunatofautiana kutoka mtu mmoja na mwingine lakini unapochangia jiepushe na kasumba kwa ulisoma udsm, mzumbe au sua na kusema udom chuo cha kata wanafunzi wake ni division 5, utakuwa unakosea sana kwa mtu mmoja hawezi akawakilisha wanafunzi zaidi ya elfu 20. kwa hiyo jiepushe na inductive reasoning... UDOM nadhani ni taasisi kubwa huwezi conclude kuwa huyo mtoa mada hawezi kuwakilisha wanafuzi wa UDOM

Hata na ww unaonekana umesoma UDOM
 
naona chuo cha kata kinaendeleza mambo vyama katika elimu...kazi mnayo kumbukeni kuna maisha baadaya chuo
 
Mwandishi anaonesha hata chuo chenyewe inabidi kipinduliwe maana hamna kitu wanachojifunza. Anaandika kama mwanafunzi wa kidato cha nne. Hivi vyuo sasa viwe vinakaguliwa maana ni vya hatari sana kuzalisha watu wa hovyo namna hii. Wanaokuja kujaza server na thread za kipuuzi. Tatizo udom imechukua division 5 nying sana. Ni chuo cha kata.
we kweli akili zako za kata
 
HATIMAYE SERIKALI YA VICTOR BYEMARWA YAANGUSHWA RASMI NA WANA HUMANITIES.

Leo ndio kwa mara ya kwanza nimeamini ukipewa dhamana ifanyie kazi na sio kudharau waliokuweka madarakani.

Victor Byemerwa amekua rais wa humanities kwa miezi kadhaa huku akishindwa kufanya chochote kwa manufaa ya watu wa humanities na kuacha wakiteseka kwa kero mbalimbali jambo lililopelekea bunge kumuondoa waziri mkuu.

Hatua za kumuwajibisha Victor ambaye ameongoza kwa ubabe hadi kufikia hatua ya kuwapiga baadhi ya wanafunzi hazikuishia hapo bali wanafunzi wa humanities wameenda mbele zaidi kwa kumpigia kura ya kutokua na imani nae tukio lililofanyika leo na hadi kufikia jioni ya leo zaidi ya wanafunzi 6500 kati ya wanafunzi takribani 8500 wa humanities wameshapiga kura ya kutokua na imani naye.

Dah kiukweli nimeamini wanafunzi wa humanities wamekomaa sana katika masomo yao ya political science na sheria kwa jinsi walivyofanikisha zoezi hili kwa ufanisi.

Mungu tusaidie tupate rais mpya mwenye nia ya kutetea maslahi ya wana humanities.
da!! hii ndio UDOM ambayo ina shida kwa wanafunzi wanaopenda ukweli..chuo ina shida nyingi ila ukizisema tu unaambiwa wewe ni mtu wa chadema.Maji yenyewe shida ila ukiongea sana unaambiwa mchochezi na utawala wanakupa majibu rahisi tu et pampu zimeharibika mmmmh pampu gani hizi hazitengenezeki..hii ndo UDOM ambayo kila mtu ni mbabe kwa wanafunzi kuanzia utawala hadi suma jkt hiki chuo bhana hakina hata miaka 15 lakini miundominu yake ni ya kichina yaan hata sehemu za vyoo hakujawai kuwa na maji na viongozi wa wanafunzi wapo wanaangalia ila nadhani hii kitu ni jadi .ukiwa kiongozi hiki chuo lazima uwe mwanachama wa ccm aisee inatia huruma.
NB.usithubutu kumshauri ndugu, au jirani kuja kusoma UDOM atakulaumu kipindi chote cha masomo ya hapa chuo
 
wamekuja wana UDOM ha ah ha ..ninyi mumshukuru sana kikwete maana bila hivyo msingesoma chuo na hilo lichuo lenu la kata..linaendeshwa kiswahili ni kama lichuo la ccm na watu wake. wote ni bongo lala tu. nenda kaangalie vyuo vya maana na watu wake walivyo na akili.

we kweli akili zako za kata
 
Back
Top Bottom