Victor Bout na JWTZ, Meremeta na DRC, Mwanza na Mapanki: Connecting the dots!

Ok..hawa ndo wanaoshiba kwa kumwaga damu za watu

........halafu sisi (TZ) eti tuna-facilitate.........!! halafu tunalalamika eti wakimbizi.........halafu eti sisi (TZ) ni wakombozi.......!!
 
Niliona documentary ya huyu jamaa some time back kwenye BBC, mpaka anakamatwa. It is scary!
 
Hivi kama wabunge wenyewe wameridhika na siri za kijinga za serikali, kwanini sisi wengine haturidhiki? Kama wabunge hawataki kujua kilichofanywa kwa jina la nchi yetu, kwanini wengine sisi tumeng'ang'ania kana kwamba sisi tulichaguliwa na wananchi? NI maswali najiuliza tu labda wakati mwingine tukubali kuwa wao ndio serikali na wenye nchi!!
 
Hivi kama wabunge wenyewe wameridhika na siri za kijinga za serikali, kwanini sisi wengine haturidhiki? Kama wabunge hawataki kujua kilichofanywa kwa jina la nchi yetu, kwanini wengine sisi tumeng'ang'ania kana kwamba sisi tulichaguliwa na wananchi? NI maswali najiuliza tu labda wakati mwingine tukubali kuwa wao ndio serikali na wenye nchi!!

Kwa sababu tumewa ajiri sisi. Wamepata hivyo vyeo kwa sababu yetu sisi. Mishahara wanayo jipangia ni kodi yetu sisi. Kama waajiri wao tuna haki ya kuwauliza kwa nini hawafanyi kazi tuliyo watuma kufanya. Wakiendelea kuto kutimiza mkataba wa ajira ni kazi kwetu sisi 2010 kiusitisha ajira yao.
 
The film Darwins nightmare focused world attention on this Tanzanian port and threatened to expose our government's role in arms dealing. It was no surprise our leadership panicked and the fear was transformed to uncalled for anger directed at the film maker, tuendelee !!

I didnt know the connection before. Je ni nani mwenye uwezo wa kuiwajibishaserikali yetu kwa madhambi yote hayo? Tutaishia tu kuzungumza?
 
I didnt know the connection before. Je ni nani mwenye uwezo wa kuiwajibishaserikali yetu kwa madhambi yote hayo? Tutaishia tu kuzungumza?

The link is simple mkuu. Wa kuiwajibisha serikali ni bunge maana kazi yao ni kusimamia serikali. Wakusimamia Bunge ni sisi wananchi tuliowapa dhamani hao wabunge kutetea maslahi ya taifa. Simple answer ni kwamba bunge likishindwa kuiwajibisha serikali sisi wananchi tunaiwajibishe kwa kuwapigia kura ya NO.
 
topics_viktorbout_190.jpg

Victor Bout - A Russian arms dealer and merchant of death !!
Two of his registered area of operations
by use of forged end-user arms certificates were
Kindu in the Congo &
Mwanza in Tanzania.
na sasa tuendelee.......
currently - serving a prison sentence ?

Duuu!!!!!! Lakini ilishasemwasemwa huko kuwa yale madege ya Kirusi yaliyokuwa yakimiminika Mwanza kwa kisingizio cha kubeba minofu ya sangara si ya bure.
 
Duuu!!!!!! Lakini ilishasemwasemwa huko kuwa yale madege ya Kirusi yaliyokuwa yakimiminika Mwanza kwa kisingizio cha kubeba minofu ya sangara si ya bure.

Jana Katuni ya Kipanya ilikuwa inauliza, "Kwanini viwanda vya samaki vinajazana Mwanza tu? Mbona miji yote ya pwani ya bahari ya Hindi haina hata kimoja?" Hivi ni Mwanza tu ndo kuna samaki wa kutosha kusimika viwanda?

Sasa natafakari na kuunganisha mambo.... Inatisha.
 
Mimi naogopa hata kuchangia kuhusu hili.

Mzee mwenzangu, La Meremeta linajulikana wazi.....
 
Jana Katuni ya Kipanya ilikuwa inauliza, "Kwanini viwanda vya samaki vinajazana Mwanza tu? Mbona miji yote ya pwani ya bahari ya Hindi haina hata kimoja?" Hivi ni Mwanza tu ndo kuna samaki wa kutosha kusimika viwanda?

Sasa natafakari na kuunganisha mambo.... Inatisha.

Ukanda wa pwani pia kuna viwanda vya samaki ambavyo husafirisha samaki hao kupeleka Ulaya. Viwanda vipo Kilwa, Mafia, Tanga na Dar es Salaam. Mwanza vipo vingi sababu ya wingi wa rasilimali yenyewe yaani Sangara!
 
Tanzania Bila Mafisadi Inawezekana! Tusikate tamaa.
 
Hiyo film niliangalia na kutokwa machozi. Yule mama aliyeharibiwa jicho sababu ya wadudu wanaotoka kwenye samaki. Ile harufu ya mapanki hadi unaisikia ingawa unaangalia screen. Kilichoniuma zaidi ni yule dada anayeimba "Tanzania, Tanzania, nakupenda kwa moyo wote..." na lile li pilot la Ukraine linalodai wakati linasoma likuwa likikaa na Mtz, likawa linamfuatilizia kwa kuzema "Tanzania, Tanzania..." Mwisho wanaandika alikuja kuchomwa kisu na sijui Mu-Australia na akafa na yule jamaa akaachiwa akajikata kwao....too painful.

Hapa siyo siri kuwa Mkapa amehusika na umwagaji wa damu wa Wacongo. Hata Joseph Kabila pana wakati alilalamika juu ya hili ingawa direct alizitaja nchi za Uganda na Rwanda. Ila siyo siri kuwa Tanzania ndiyo ilikuwa njia ya kupitishia hizo silaha na Mkapa na watu wake walijua hili. Ingelitakiwa hawa watu washtakiwe kwenye mahakama za kimataifa :- Kagame, Museven na Mkapa. Wengine watafuatia na labda hii ingelifanya viongozi wa Africa wawe wanafikiri mara mbili kwenda kujiingiza kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe ambazo inawezekana kuwa ni wao wamezianzisha.

Hao viongozi wa JWTZ wasingelifanya kazi au ufisadi bila amri ya amiri jeshi. Loo, Mkapa alimess ndani na nje ya Tanzania, na bado hizo hela zilikuwa hazimtoshi hadi kuja kuuza mashirika na mwisho KUJIPA mgodi na kiwanda ..... Is this Mfalme JETA???
 
Nadhani serikali ya DRC wanatakiwa watulipe kama anavyofanya Museveni sasa. Ikifikia hapo, suala la Meremeta litakuwa limepata ufumbuzi?
 
I'm really tempted to go all the way; but I won't do this time. Not worthy it. Kama wabunge waliochaguliwa na wananchi wanaogopa na hawako tayari kwanini wengine tujihangaishe? The connections between the four elements in the subject line are scary at least and deadly at most! (literally!)

We have surrendered out sovereignty as a nation to a corrupt regime, a regime that has abused power and defendend those who have abused power in so many ways and in so many times. A regime that will not on its own reverse course and return our nation to "we the people". A regime that will not tolerate a democratic challenge nor create an environment where such a challenge could take place.

The Meremeta issue if pursued to the fullest extent of possibilities will unveil a clear and obvious failure in leadership and would result to criminal charged to be leveled against the following:

- Ex President Benjamin Mkapa
- EX Attorney General Andrew Chenge
- EX Chief of Defence Forces Robert Mboma
- Ex Secretary of the Defence Ministry Vincent Mrisho
- and others who at the moment I choose to hold them in pectore! The people connecting Victor B. and some corrupt government officials in the Tanzanian Government!

I really would have dared to venture where no MP has dared to.. lakini hilo lingenifanya nifanye kile kinachotakiwa kufanywa nao. Kwa vile wawakilishi wetu wamekubali kupumbazwa na maneno ya kiwoga, then hivyo ndivyo taifa letu liongozwe.

Clue: Kwanini serikali ilireact kwa ukali sana kuhusu filamu ya "mapanki"?

answer: tafuta ripoti yangu ya "Tracing Reports" ya mwaka 2006 iliyopo somewhere here!

Inatisha!
 
vitu vingi sana hapa nchini vipo wazi japo serikali haitaki kuchukua hatua kwakuwa vinawahusisha wengi waliopo serikalini...MM haya mambo mtu anapopata access ya kuyaeleza hapa ni bora tu atoa detail ili watu wajue kwanini serilaki inajibu hovyohovyo masuala ya maana....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom