Vicky Kamatta: Dada mwenye mafanikio

VIKKY KAMATTA DADA MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA

Nimesoma kwenye gazeti moja hivi kwenye page ya katikati inaeleza kuwa uyu dada yeye anamafanikio makubwa sana kwaville amemaliza masters ya uingereza na kuafaulu vyema, na muimbaji mahili anaeijuwa kazi yake, na mfanyakazi wa BOT. ila nilipata NEW kuwa vikky alifeli uko SOUTHAMPTON SOLENT UNIVERSITY UK. JE ni KWELI NA NI KWELI KASUBMITH CHETI FEKI BOT. sasa kama dada vikky unavimeo na kunawatu uliosoma nao wanajuwa sasa yanini kujitowa magazetini kila siku mama. EBU SOUTHAMPTON SOLENT PRODUCT TUPENI DATA tumechoka kubebana kila siku kawasababu ya nanii kuna ndugu yangu alionekana ni forgel alikosa kazi BOT why vikky she is still in.

Hiyo ndio masters gani tena?nifafanulie tafadhali.
 
It seems kuna watu waongo-reading from this info humu.... Juzi nilikuwa naongea na jamaa yangu pale mitaa ya kati tunapata lunch akaniambia kwamba huyo dada..(alikuwa amepita) kwamba amefanya masters shule moja inaitwa London School of Economics huko UK.

So was he wrong? Maana mimi nilijua ni kichwa sana..ukichukulia hiyo shule inavyoheshimika.

Masanja
 
It seems kuna watu waongo-reading from this info humu.... Juzi nilikuwa naongea na jamaa yangu pale mitaa ya kati tunapata lunch akaniambia kwamba huyo dada..(alikuwa amepita) kwamba amefanya masters shule moja inaitwa London School of Economics huko UK.

So was he wrong? Maana mimi nilijua ni kichwa sana..ukichukulia hiyo shule inavyoheshimika.

Masanja

He!!! another side of the story...
 
Mimi nadhani yanapona..Nimewahi kuwasikia wahubiri wengi tu wakidai kwamba wao walikuwa kama Boss lakini wamepona.Hakuna lisilowezekana kwa MUNGU.

kuna tofauti kati ya kupona na kutuliza, the former inategemea afya ya mtu na the later inategemea uamuzi wa mtu.......... sasa tafakari hao wahubiri wanaangukia upande gani.............
 
VIKKY KAMATTA DADA MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA

Nimesoma kwenye gazeti moja hivi kwenye page ya katikati inaeleza kuwa uyu dada yeye anamafanikio makubwa sana kwaville amemaliza masters ya uingereza na kuafaulu vyema, na muimbaji mahili anaeijuwa kazi yake, na mfanyakazi wa BOT. ila nilipata NEW kuwa vikky alifeli uko SOUTHAMPTON SOLENT UNIVERSITY UK. JE ni KWELI NA NI KWELI KASUBMITH CHETI FEKI BOT. sasa kama dada vikky unavimeo na kunawatu uliosoma nao wanajuwa sasa yanini kujitowa magazetini kila siku mama. EBU SOUTHAMPTON SOLENT PRODUCT TUPENI DATA tumechoka kubebana kila siku kawasababu ya nanii kuna ndugu yangu alionekana ni forgel alikosa kazi BOT why vikky she is still in.
Itabidi tumtatafute Mzee Kifimbo yule wa Sani; Halafu watu wanapiga kelele hapa Oooh tungekuwa tunafundisha kwa kiswahili Ooooh watoto wangeelewa. Hata kiswahili ni kigumu pia!
Huenda wewe ni mtu wa mwambao manake hizo uko, uyu zina-sound Umwambao mwabao. Nitakuazima kamusi ya kiswahili sanifu
 
Wakunyumba Masanja!
Hii ni kali, sidhani kama hizi habari tunazo soma hapa dada yetu angeweza kula nondo za London School of Economics......alikuwa Southampton jina la chuo sina uhakika. Siwezi shangaa akiteuliwa na Muungwana kuwa balozi wetu UK.



It seems kuna watu waongo-reading from this info humu.... Juzi nilikuwa naongea na jamaa yangu pale mitaa ya kati tunapata lunch akaniambia kwamba huyo dada..(alikuwa amepita) kwamba amefanya masters shule moja inaitwa London School of Economics huko UK.

So was he wrong? Maana mimi nilijua ni kichwa sana..ukichukulia hiyo shule inavyoheshimika.

Masanja
 
Huyu mdada kichwani hamna kitu kabisa. Alisoma certificate course pale Nyegezi (St Augustine University) akitokea huko bush alikokuwa anafundisha shule ya msingi, na baadaye alifanya advanced diploma ya mass communication hapo hapo Nyegezi. Aliibuka wakati wa kampeni za 2005 akiimba imba, na ndipo fataki mmoja maarufu akamnasa. Kwamba alienda kusoma Masters ni ajabu na kweli. Waliosoma naye Nyegezi wanasema kichwani ni mtupu vibaya sana! Kuna tetesi pia kwamba amezaa na huyo fataki kiongozi.

Shhhhhhhhh.......!!!!!!!! Basi.... basi kaka uwe una uma na puliza kidogo halafu angalia wasije wakakusikia
 
ah, ngoja nikanywe tubia twangu naona hapa mada ishaingia sumu hii...
 
hey hey hey!!!

mleta mada vipi huyu dada ni my wife wa prreesidaaa!
ana mtoto anafanana sana na prrresid---nt wakati yuko SAUT alikuwa anaishi nae pale karibu na shule ya ngaza ambapo alikuwa amepanga kwenye moja ya house kali,



sasa wewe uliza vya watu

......Kumbe huyu mtu kazaa na wanawake wengi ehehehe!! Kuna dada mtu wangu wa karibu naye ana copy ya mzee.
 
Back
Top Bottom