Vichwa vya habari vya magazeti jumatatu tarehe 2/4/2012 (arumeru)

Itakuwaje jumatatu hiyo kwenye magazeti, na media zingine?gazeti gani kucheka, na lipi kununa au kutoripoti kabisa!NiUhuru,Mzalendo au Tanzania Daima kunyamazishwa?Binafsi nahisi itakuwa hivi:
1. .............NI PIGO KUBWA SANA CCM
2.CCM, MWIGULU WAKIMBIA NA MASANDUKU YA KURA
3.NEC YAGOMA KUTANGAZA MATOKEO,yasema miundombinu ya Arusha na Computer zagoma
4.Gazeti la Uhuru.....KIKWETE AZURU IRINGA-irrelevant
5.TBC............MAGUFULI APIGA MKWARA KARIAKOO-irrelevant

Mwanajamii unadhani vichwa vya habari magazeti na media zingine vitakuwaje jumatatu hiyo?
Vipi hizi .........
1.Dogo janja afunika mbaya؛............sioi arejea Dsm kichwa chini
2.CCM Washikwa pabaya.......Sioi apwaya!
3. CCM Wapoteana Arumeru.....Mwigulu alazwa baada ya kupata mshtuko!
 
Gazeti la Mwananchi - Matokeo ya awali: Chadema yaongoza Arumeru, tume kutangaza matokeo rasmi leo mchana

Gazeti la Uhuru - CCM yapeta Arumeru, matokeo ya awali yaonyesha inaongoza kata 13 kati ya 17

Tanzania daima - Chadema yaongoza Arumeru. Nassari anaongoza kwa zaidi ya kura 9000

Habari leo - CCM yaelekea kutetea kiti cha Arumeru.

Yani Jumatatu asubuhi kutakuwa na mkanganyiko wa habari kwenda mbele!

Tumbiri umenifanya nicheke badala ya kutafakari
 
Akiongea na mwandishi wetu Nape amesema "hata hivyo CCM bado itakuwa na majority bungeni".
 
Gazeti la Uhuru - Kama Ubungo, Mawakala wa CHADEMA waingiza laptop zao kuhesabu kura.

Gazeti la Mzalendo - Chadema yashinda kwa hila. Wafuasi wamsonga msimamizi kushinikiza kuwatangaza washindi. Kesi kutinga mahakamani kutengua matokeo.

Gazeti la Habari leo - TANESCO kupunguza tatizo la Umeme (Yani hii ndiyo itakuwa habari kuu kwao, alafu ukifungua ndani ukurasa wa tano ndio unakuta habari imeandikwa kwa kichwa cha habari kidogo na chembamba 'Chadema yashinda Arumeru'. Na bahati mbaya habari yenyewe itakuwa mistari kama kumi tu).
 
Hadi tunakwenda mitamboni Lema alikuwa anashikiliwa na polisi kwa kushinikiza matokeo yatangazwe kabla ya muda.
 
ccm yapata ushindi wa kihistoria arumeru-gazeti la uhuru
arumeru yalipuka kwa vurugu-mwananchi
ccm chali ndani ya arumeru-tz daima
 
Uhuru: Chadema waleta fujo vituoni, mabomu yatanda, ccm chaongoza kata 11
tz daiam: Ni joshua nassari arumeru.msimamizi akataa kutangaza matokeo. Adai anasubiri fomu na f1, f3 kujaza matokeo. Ccm zii

habari leo: Hali ya hewa yataadharisha wa mabondeni.
Jambo leo: Ni mnyukano arumeru, sioi anaelekea kuoa mke wa pili, chadema wazua vurugu wakataa matokeo. Mabomu yarindima, 40 wakamatwa
mwananchi: Kimeeleweka arumeru, ni ccm na chadema, nasari ampiku sioi kura 20,000
mwanahalisi;ni ukombozi wa arumeru, jitihada za kuchakachua zakwama, kisa ni mtandao kuwa slow
 
Mh! If wishes were horses....

Kwanza msishangae siku hiyo umeme hautakuwepo usiku wote baada ya kupiga kura. Si Tanesco wametangaza mgao usio rasmi?
 
Kuchelewa kwa matokeo hakubadili ukwel wa sioi kuolewa na cdm!heren zake zipo tayari..polen gazeti la uhuru kwa kulazimishwa kuandika uongo!
 
Back
Top Bottom