Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
... Mzalendo, na la Mfanyakazi, mbona hujaweka?
Tanzania Daima mbona haujaliweka ?.
nilishaliweka,nimekuwekea tena,pia ni vizuri ukienda kupima macho
... Mzalendo, na la Mfanyakazi, mbona hujaweka?
... Mzalendo, na la Mfanyakazi, mbona hujaweka?
Tanzania Daima mbona haujaliweka ?.
... Nimeiona Heading ya Mtanzania'
je ya "Al Nuur" inasomekaje?
Watu hata shukrani hamna?! ... angalau kwanza mngemu-appreciate kwa kuweka angalau magazeti hayo alafu mumuombe awatafutie mengine manayoyataka nyie!
Hata like hamjamgongea mnaanza kumlaumu!
Kaka fanya hisani tupate An Nuur na Zanzibar Leo, nina hamu ya kujua ratiba za Maulid na Khitma
Watu hata shukrani hamna?! ... angalau kwanza mngemu-appreciate kwa kuweka angalau magazeti hayo alafu mumuombe awatafutie mengine manayoyataka nyie!
Hata like hamjamgongea mnaanza kumlaumu!