mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Kumbe ndio maana vifo vinaongezeka?KABOKA MCHIZI. Ni dokta sasa!!!!!
Kumbe ndio maana vifo vinaongezeka?KABOKA MCHIZI. Ni dokta sasa!!!!!
kwikwikwiKumbe ndio maana vifo vinaongezeka?
ata mmAisee kumbe humu Jf mpo watu wakubwa nahis me ni mdogo peke yangu
Vp lakini azania kipind hicho mlikuwa na session
Dah!,unanikumbusha enzi za raha,wewe ulimaliza mwaka gani?Ni vya enzi za Kwayu hivyo - naam enzi za Mitimingi na Mchwampaka bila kumsahau Mama Semhando na Mwalimu Ramadhani
9 nyingine ni ya mwaramy yule anafundisha tuit kule kkooAzania class, 2000-2003, niweke kumbukumbu sawa, mwaka wetu ilitoka point saba ya rashidi tulisindo, 8 mmoja ya jamaa mmoja sauti kubwa anaitwa aloyce mtenga, tisa zilikuwa nyingi ila naikumbuka mmoja ya albert maira,katika hawa maira alirudi na point tatu form six, nawasilisha
ngozye mzee wa sita ni nouma aliwahi nidaka nilikuwa nawachungulia zanaki wakiogaBraza shikamoo me ndo nipo azania mpk sa iv pale nasoma mkuu wetu ni ngozye unampata ?
Akikushika, hamna maelezo unakula sita kwanza.. Ukizubaa kofi, alimpa kofi mchiz wangu, akaniambia anaona chenga tungozye mzee wa sita ni nouma aliwahi nidaka nilikuwa nawachungulia zanaki wakioga
Yes, mkuu, mashine iliishia/iko wapi hiyo?
Naona aliyemuachia mikoba kawa 'Jack of All Trades'!
The same to me mkuu ,wakati tunaingia pale tulimkuta kwayu ila form2 akatuaga,unamkumbuka scramble? Kama hujachomekea tu unazaa nae..kuna ticha 1 wa math ni mrefu na ni hadim sana ila akija tu anakata nusu topic au topic yote,wayback mkuu ila nimezimiss sana zile moments....me nafikiri kuna umuhimu mkubwa wa kutengeneza azaboy community ili tuweze kusaidiana,kushauriana na hata kuwainspire wadogo zetu hasakwa wale waliofanikiwa zaidi,,,,azaboy we will never forget uDaahhh...Mi nilimalizaa 2008 aseee...kuna watu humuu baba zangu yaan..
Itakua tuliingia mwaka mmoja mkuuMe naingia aza boy ngozye mwl wa fine art