Vichochoro Temeke, Sijawahi kuona

Biohazard

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
2,197
1,459
Eneo la Temeke limejengeka kwa plan toka ukoloni kiasi kwamba mitaa yake imekua na vichochoro virefu sana nimebahatika kukaa kwa kipindi cha wiki moja ila mambo yanayojiri kwenye vichochoro hivyo tena vya muhimu kiasi kwamba huwezi kukwepa ni ya ajabu sana.

Wakazi wa maeneo hayo wamebuni na kutengeneza vyumba sambamba na vichochoro mwanzo hadi mwisho na kupagisha wasichana na wazee ambao hujiuza masaa ishirini na nne cha ajabu vichochoro hivyo vimetawaliwa na wanawake wa kabila moja yani wahaya kitu ambacho nimeshindwa kuelewa wanatoka wapi kwa kweli inasikitisha sana. Unapopita unasikia nyimbo za saida Kalori pamoja na mazungumzo ya kilugha mara nyingi hawatumii kiswahili.

Vichochoro hivyo ni zaidi ya vitatu, Kimoja ni Temeke Hospital kama unakwenda Yres na vingine ni mitaa hiyo hiyo ya jirani .shoo tym ni Elfu mbili hadi tatu with no room cost . Mwenyezi Mungu naomba utuepushe kwani wanapita watoto wadogo, wanafunzi wazee na vijana kwa kweli inasikitisha na biashara hiyo cjui kama serikali ya mtaa iklishachukua hatua. Cha ajabu wameanga na wanaishi maisha ya kawaida kama mtu aliyepamnga popote mtaani yani vyumba vina TV,Redio na kila kitu.

Ukipita Unakuta milango wazi wamekaa Nusu Uchi. Ifikapo Usiki Vichochoro vimepambwa kwa Taa za Rangi zitokazo katika vyumba hivyo. Nitapiga Picha hiyo mitaa kwa siri then nitapost.
 
cha kufurahisha wamejiwekea utaratibu wa kutogombania wateja.kila mtu anakaa mlangoni kwake na kipedo,wewe unapita mwanzo mwisho ambaye atakuvutia unaingia kwake.wenyewe wanakuambia ile ni office kama zilivyo ofisi nyingine.
masharti;
.malipo kwanza
.kutumia condom
.usimwambie awe wako peke yako kama utakuta mtu mwingine subili atoke
.usimuonee wivu
.hamna kuvua suruali coz sio kwako
.fanya kilichokuleta uondoke.
Mwisho wa siku utasikia,karibu tena shemeji.
MIA
 
Eneo la Temeke limejengeka kwa plan toka ukoloni kiasi kwamba mitaa yake imekua na vichochoro virefu sana nimebahatika kukaa kwa kipindi cha wiki moja ila mambo yanayojiri kwenye vichochoro hivyo tena vya muhimu kiasi kwamba huwezi kukwepa ni ya ajabu sana.<br />
<br />
Wakazi wa maeneo hayo wamebuni na kutengeneza vyumba sambamba na vichochoro mwanzo hadi mwisho na kupagisha wasichana na wazee ambao hujiuza masaa ishirini na nne cha ajabu vichochoro hivyo vimetawaliwa na wanawake wa kabila moja yani <font color="#ff0000">wahaya </font>kitu ambacho nimeshindwa kuelewa wanatoka wapi kwa kweli inasikitisha sana. Unapopita unasikia nyimbo za saida Kalori pamoja na mazungumzo ya kilugha mara nyingi hawatumii kiswahili.<br />
<br />
Vichochoro hivyo ni zaidi ya vitatu, Kimoja ni Temeke Hospital kama unakwenda Yres na vingine ni mitaa hiyo hiyo ya jirani .shoo tym ni Elfu mbili hadi tatu with <font color="#ff0000">no room cost</font> . Mwenyezi Mungu naomba utuepushe kwani wanapita watoto wadogo, wanafunzi wazee na vijana kwa kweli inasikitisha na biashara hiyo cjui kama serikali ya mtaa iklishachukua hatua. Cha ajabu wameanga na wanaishi maisha ya kawaida kama mtu aliyepamnga popote mtaani yani vyumba vina TV,Redio na kila kitu.<br />
<br />
Ukipita Unakuta milango wazi wamekaa Nusu Uchi. Ifikapo Usiki Vichochoro vimepambwa kwa Taa za Rangi zitokazo katika vyumba hivyo. Nitapiga Picha hiyo mitaa kwa siri then nitapost.
<br />
<br />
Duh! Sijui niseme wewe ni mdau pia maana mpaka bei unazijuwa! We mkariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
 
cha kufurahisha wamejiwekea utaratibu wa kutogombania wateja.kila mtu anakaa mlangoni kwake na kipedo,wewe unapita mwanzo mwisho ambaye atakuvutia unaingia kwake.wenyewe wanakuambia ile ni office kama zilivyo ofisi nyingine.
masharti;
.malipo kwanza
.kutumia condom
.usimwambie awe wako peke yako kama utakuta mtu mwingine subili atoke
.usimuonee wivu
.hamna kuvua suruali coz sio kwako
.fanya kilichokuleta uondoke.
Mwisho wa siku utasikia,karibu tena shemeji.
MIA

Nimeipenda hiyo, hakuna kuitana mpenzi sijui nini, aku! usije ukajimilikisha!!!
 
.........ehhhhh!!! Makubwaaa, hivi ni kweli au story tu. Nashindwa kuamini sijui kwa nini!!
 
Mwananyamala A karibu na hospital pia wapo wahaya wa namna hiyo!akipita barabarani huwezi jua kama huwa anafanya biashara ile.wengine ni wake za watu wenye heshima kabisa
 
<br />
<br />
Duh! Sijui niseme wewe ni mdau pia maana mpaka bei unazijuwa! We mkariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
Hiyo ndo hali halisi ukifika utayajua hayo yote bila kupenda, huo mtaa unaweza kupita mara ya kwanza ukastuka lakini usielewe kinachoendelea ila for the second tym lazima ukae sawa.
 
.........ehhhhh!!! Makubwaaa, hivi ni kweli au story tu. Nashindwa kuamini sijui kwa nini!!

Laivu bila Chenga Figganigga kama anatambua vizuri. Kama huamini nenda kituo cha temeke hospitali uliza "natafuta ndugu zangu wa Bukoba waliniambia nikifika hapa nikiuliza napelekwa"
 
Nahisi wewe ni mgeni na dar hii na kama sio mgeni basi lazima utakuwa umekulia kwenye mboga saba! Maana sioni point yako ya msingi ya kuishangaa temeke wakati hayo mabanda yametapakaa kila kona ya jiji hili. Mwanyamala hospital yapo kama ulivyoambiwa,buguruni pia,mazense nako,keko toroli kama kawa,sokota maeneo ya sugar ray nako ndani ya nyumba tena uchochoro wao ni mrefu balaa, bila kusahau double kibin hiyo ni tandika yaani hapo ni kwa uchache sana lakini yapo mengi katika wilaya zote tatu halafu kwa taarifa yako tu wahaya walikuwa waanzilishi tu siku hizi hata kabila lako nina uhakika mia kwa mia halikoseni kwenye hayo mabanda(kama unabisha litaje halafu nikupeleke ukashuhudie mwenyewe) tembea babu sio kushangaa vitu ambavyo sio vya kushangaa!
 
cha kufurahisha wamejiwekea utaratibu wa kutogombania wateja.kila mtu anakaa mlangoni kwake na kipedo,wewe unapita mwanzo mwisho ambaye atakuvutia unaingia kwake.wenyewe wanakuambia ile ni office kama zilivyo ofisi nyingine.<br />
masharti;<br />
.malipo kwanza<br />
.kutumia condom<br />
.usimwambie awe wako peke yako kama utakuta mtu mwingine subili atoke<br />
.usimuonee wivu<br />
.hamna kuvua suruali coz sio kwako<br />
.fanya kilichokuleta uondoke.<br />
Mwisho wa siku utasikia,karibu tena shemeji.<br />
MIA
<br />
<br />
shemeji ulishawatembelea nini?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
shemeji ulishawatembelea nini?
<br />
<br />
nakuhakikishia sikukuu inayokuja bei itampanda na kila mlango utakuta umefungwa.utakua unasikia miguno tu.maweee...!!.eti"hujamaliza tu..mi tayari.fanya haraka haraka uondoke kumekucha.mia
 
acheni kujihusisha na mambo yasiyo wahusu...
hao wahaya wapo toka enzi za nyerere.....
wanatoa huduma kwa vijana ambao otherwise wangeenda kubaka mabinti na vitoto huko mitaani..

leave them alone....
ulete picha inahusu nini?????
 
Nahisi wewe ni mgeni na dar hii na kama sio mgeni basi lazima utakuwa umekulia kwenye mboga saba! Maana sioni point yako ya msingi ya kuishangaa temeke wakati hayo mabanda yametapakaa kila kona ya jiji hili. Mwanyamala hospital yapo kama ulivyoambiwa,buguruni pia,mazense nako,keko toroli kama kawa,sokota maeneo ya sugar ray nako ndani ya nyumba tena uchochoro wao ni mrefu balaa, bila kusahau double kibin hiyo ni tandika yaani hapo ni kwa uchache sana lakini yapo mengi katika wilaya zote tatu halafu kwa taarifa yako tu wahaya walikuwa waanzilishi tu siku hizi hata kabila lako nina uhakika mia kwa mia halikoseni kwenye hayo mabanda(kama unabisha litaje halafu nikupeleke ukashuhudie mwenyewe) tembea babu sio kushangaa vitu ambavyo sio vya kushangaa!
Wino mwekundu ndio jibu ucpate umiza kichwa ndo nimeona hiyo industry for the 1st tym. Hongera kwa kujua kona hizo za wauza miili then unadai ndo umelifahamu jiji la dar. Vile vile inaonekana ww ndo mteja wao mzuri manake unajua maeneo mengi ya biashara hiyo. Kabila langu ni Muhaya pia ndo maana inaniuma coz 2nadhalilishwa.
 
acheni kujihusisha na mambo yasiyo wahusu...
hao wahaya wapo toka enzi za nyerere.....
wanatoa huduma kwa vijana ambao otherwise wangeenda kubaka mabinti na vitoto huko mitaani..

leave them alone....
ulete picha inahusu nini?????

Inayowahusu... pia naomba samahani kwa kuingilia wapangaji wako.
 
Inayowahusu... pia naomba samahani kwa kuingilia wapangaji wako.

wewe unaonekana mtoto sana..
unashangaa wahya kujiuza wakati ni toka nyerere wanajiuza?

dunia nzima kuna mitaa ya wanawake kujiuza...
uliza waliosafiri nini maana ya red light district.......
 
Back
Top Bottom