Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,459
Eneo la Temeke limejengeka kwa plan toka ukoloni kiasi kwamba mitaa yake imekua na vichochoro virefu sana nimebahatika kukaa kwa kipindi cha wiki moja ila mambo yanayojiri kwenye vichochoro hivyo tena vya muhimu kiasi kwamba huwezi kukwepa ni ya ajabu sana.
Wakazi wa maeneo hayo wamebuni na kutengeneza vyumba sambamba na vichochoro mwanzo hadi mwisho na kupagisha wasichana na wazee ambao hujiuza masaa ishirini na nne cha ajabu vichochoro hivyo vimetawaliwa na wanawake wa kabila moja yani wahaya kitu ambacho nimeshindwa kuelewa wanatoka wapi kwa kweli inasikitisha sana. Unapopita unasikia nyimbo za saida Kalori pamoja na mazungumzo ya kilugha mara nyingi hawatumii kiswahili.
Vichochoro hivyo ni zaidi ya vitatu, Kimoja ni Temeke Hospital kama unakwenda Yres na vingine ni mitaa hiyo hiyo ya jirani .shoo tym ni Elfu mbili hadi tatu with no room cost . Mwenyezi Mungu naomba utuepushe kwani wanapita watoto wadogo, wanafunzi wazee na vijana kwa kweli inasikitisha na biashara hiyo cjui kama serikali ya mtaa iklishachukua hatua. Cha ajabu wameanga na wanaishi maisha ya kawaida kama mtu aliyepamnga popote mtaani yani vyumba vina TV,Redio na kila kitu.
Ukipita Unakuta milango wazi wamekaa Nusu Uchi. Ifikapo Usiki Vichochoro vimepambwa kwa Taa za Rangi zitokazo katika vyumba hivyo. Nitapiga Picha hiyo mitaa kwa siri then nitapost.
Wakazi wa maeneo hayo wamebuni na kutengeneza vyumba sambamba na vichochoro mwanzo hadi mwisho na kupagisha wasichana na wazee ambao hujiuza masaa ishirini na nne cha ajabu vichochoro hivyo vimetawaliwa na wanawake wa kabila moja yani wahaya kitu ambacho nimeshindwa kuelewa wanatoka wapi kwa kweli inasikitisha sana. Unapopita unasikia nyimbo za saida Kalori pamoja na mazungumzo ya kilugha mara nyingi hawatumii kiswahili.
Vichochoro hivyo ni zaidi ya vitatu, Kimoja ni Temeke Hospital kama unakwenda Yres na vingine ni mitaa hiyo hiyo ya jirani .shoo tym ni Elfu mbili hadi tatu with no room cost . Mwenyezi Mungu naomba utuepushe kwani wanapita watoto wadogo, wanafunzi wazee na vijana kwa kweli inasikitisha na biashara hiyo cjui kama serikali ya mtaa iklishachukua hatua. Cha ajabu wameanga na wanaishi maisha ya kawaida kama mtu aliyepamnga popote mtaani yani vyumba vina TV,Redio na kila kitu.
Ukipita Unakuta milango wazi wamekaa Nusu Uchi. Ifikapo Usiki Vichochoro vimepambwa kwa Taa za Rangi zitokazo katika vyumba hivyo. Nitapiga Picha hiyo mitaa kwa siri then nitapost.