C cc_africa Senior Member May 30, 2010 121 2 Dec 25, 2011 #1 Wendawazimu walipanga kutoroka hospitali lakini kukawa kuna mlinzi,wakapanga wampige kisha wachukue funguo wafungue wakimbie,walipofika mlangoni mlinzi hayuko na mlango uko wazi wakasema 'aah dili imefeli' wakarudi!
Wendawazimu walipanga kutoroka hospitali lakini kukawa kuna mlinzi,wakapanga wampige kisha wachukue funguo wafungue wakimbie,walipofika mlangoni mlinzi hayuko na mlango uko wazi wakasema 'aah dili imefeli' wakarudi!
Aggrey86 JF-Expert Member Jun 26, 2011 853 155 Dec 25, 2011 #7 du!! hao noma hata milembe hawakai hao!
Kombo JF-Expert Member Oct 29, 2010 1,812 509 Dec 26, 2011 #8 Ha ha ha haaa...!!! Hao vichaa ni wabongo, bisha!
mtamanyali JF-Expert Member Dec 6, 2011 1,161 613 Dec 26, 2011 #11 Ha ha ha ha hao wamepitiliza kabisa ukichaa
THK DJAYZZ JF-Expert Member Sep 14, 2011 2,167 175 Dec 26, 2011 #12 Khaaa ! Hii style ya copy & paste imezid ngoja niongee na mod tuanze kutoa adhabu.
M matanga melly Member Jun 19, 2011 5 0 Dec 26, 2011 #13 ha!hiii nayo ni kali ila hailewesh i:eyebrows::eyebrows::eyebrows: