Lowasa, mkapa, lusinde, nchemba, nape, jk, wote ni waizi waliuza hata hoteli za wildlife na leo hii tunanyanyasika... Leo hii wakija hapa kupiga kampeni wataishaaaaaa.. Majambazi walioitia nchi matatizo ya umaskini hawa wanataka nini hapa arusha? Kwa taarifa yenu.........tutawabomoa na siri zote za nchi tutaanika... Lowasa anakula sh.100 kila vocha ya vota unayotumia je ni watu wanapi nchii hii wanatumia voda? Anapata approx 500milion kwa siku bila kuvuja jasho........mkapa atamfufua mwal/ nyerere.. Hao barick wataondoka siki si mingi......... Pumbafuuuuuuuuuuuuuuu!