Kitendo cha mkapa kuulizia undugu wa vicent na nyerere kwenye jukwaa la siasa ni wazi kuwa alikuwa na nia ya kumdhalilisha au kumchafua hadharani wakati anawajua watoto wa nyerere na mkewe pia bado yupo hai angeweza kuwauliza na kupata jawabu lake. kwahiyo mhe.nyerere anayo nguvu ya kisheria ya kuweza kumburuza mahakamani for slander or defamation of character.