Watu wengi sana wamesoma Ilboru,Mzumbe na kadhalika,Mbona hawajitapi.Kusoma Ilboru sio ishu,mimi nimesoma pale form one hadi Six,nina Bachelor first class ya Mlimani na Masters ya Southampton,nimefaulu vizuri tu kwenye uchumi mbona sijitapi kujiona kwamba najua na watu wengine hawajui.Siwezi kuzima hoja ya mtu eti kwa kumwambia " wewe hujui uchumi,mimi najua uchumi".I think the guy is missing something somewhere,most certainly upstairs
This is the kind of rubbish that tanzanians must reject and reject absolutely. Hakuna anayehitaji madawati hamsini eti tumesaidiwa. Tunataka kodi zetu zifanye kazi iliyokusudiwa siyo makombo toka mezani kwenu baada ya kutuibia.
Mwigulu hizo ni A za kukariri,lakini practical haujui kituNi TBC1, refa alikuwa Marine Hassan... Sikuconcentrate kwenye points maana najua hakukuwa na jipya. Ila kwenye chorus baadhi ya mambo yalikuwa hivi
Mwigulu: Hawa wapinzani wanapotosha umma maana wanajua hata bajeti ikiamuliwa iendikwe upya kwao ni ushindi
Zitto: Mwigulu kwa maksudi kabisa anapotosha umma. Mimi naongea hoja na kwa bahati mbaya siwezi kuongea kwa jazba kama anavyofanya yeye
Mwigulu: Hata fedha za elimu kwa mfano kuendeleza shule maalumu kama Ilboru nilikosoma mimi ni za maendeleo
Zitto: Mimi chuo kikuu nilikuwa mbele yako Mwigulu, na nilipata A kwenye somo la public finance na mwalimu aliyenifundisha ni mshauri wa raisi kwenye mambo ya uchumi
Mwigulu: Kweli chuo kikuu ulikuwa mbele yangu na ulipata A, lakini wewe ulipomaliza ukakimbilia kwenye siasa, mimi niliendelea na Masters na nikapata A nyingine kwenye public finance na masomo mengine yote
Zitto: Pato la ndani kwenye maendeleo ni asilimia 0. Na hata hizo za kukopa ni asilimia 30 badala ya minimum ya 35.
Mwigulu: Hata ukimpa mtoto wa darasa la pili calculator akakokotoa bilioni 700 zilizoko kwenye elimu ni asilimia 7.2, ukijumlisha na ile 30 unapata 37.2
Zitto: Acha kupotosha umma Mwigulu. Sio suala la kukokotoa na calculator, ni suala la mantiki. Hizo bilioni 700 sio zote za maendeleo kwenye elimu bali nyingi ni mshahara na marupurupu
Mwigulu: Walioandaa bajeti ni wataalamu wa wizara ya fedha, na wanajua ni nini wanafanya. Kumbuka mimi ni waziri kamili wa fedha wa CCM, na niko jikoni.
Zitto: Hata kama ni wataalamu, nao ni binadamu. Kuna wataalamu wanafikiria familia zao tu, na kuna wanaofikiria taifa. Na pia bungeni pia wataalamu tupo na haya mambo tunayafuatilia sana
Zitto: Mwigulu kumbuka wewe ni mbunge tu uliyechaguliwa kutoka kule Iramba ambako wananchi hawana maji, wanafunzi wanakaa chini. Mbona unatetea ubovu wa bajeti?
Mwigulu: Mimi sikai tu kusubiri bajeti au kuzungazunguka kama nivyi. Juzi tu nimepeleka madawati hamsini jimboni mwangu...
My take.... Nothing to take here. chakula cha kuku (pumba) tupu...
HApa Iramba dawati moja ni Tshs.14,250/= tu
Huyu jamaa anaonekana anabifu sana na LISSU na dada yake...............jana sikupenda dharau yake kabisa alipomkatiza yule dada
Hawajui hata majukumu yao wanaishia kugawa rushwa hizo za madawati badala ya kuisimamia serikali itimize wajibu wake kuhakikisha kuwa hakuna mtoto wa shule anayekaa chini. Huyu alisoma ili apate cheti, si kuelimika.
Madawati hamsini ni madarasa mawili tu,
na hayo ndio maendeleo ya mtu wa fst class economy, kaazi kweli kweli.
unajua hawa jamaa walizoea kuwa kuleta/kupeleka maendeleo/huduma mahali fulani ni hisani na sio wajibu. Ndio maana kwake yeye hayo madawati 50 (subject to verification) anaona dili sana.
Ndio walikolifikisha taifa hili kwenye lindi la umaskini. Ccm na serikali yao ni wapuuzi, dhaifu sana, wanafiki na silly kabisa!
madawati hamsini kwa jimbo zima
Ina maana hayo ndio aliyotumwa kuwapigania wananchi wake
je hayo madawati hamsini ni kwa shule ngapi za jimbo lake
na toka amechaguliwa ndo amepeleka hayo madawati hamsini
na hayo ndio maenedeleo ya watu wa jimbo lake aliyotumwa kupigania
je madawa, miundo mbinu, mfumuko wa bei nayo nani anaongelea
Hawajui hata majukumu yao wanaishia kugawa rushwa hizo za madawati badala ya kuisimamia serikali itimize wajibu wake kuhakikisha kuwa hakuna mtoto wa shule anayekaa chini. Huyu alisoma ili apate cheti, si kuelimika.
Madawati hamsini ni madarasa mawili tu,
na hayo ndio maendeleo ya mtu wa fst class economy, kaazi kweli kweli.
mwenyekiti wa kijiji anapaswa kujivunia madawadi hamsini na siyo mbunge....