Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Ni TBC1, refa alikuwa Marine Hassan... Sikuconcentrate kwenye points maana najua hakukuwa na jipya. Ila kwenye chorus baadhi ya mambo yalikuwa hivi
Mwigulu: Hawa wapinzani wanapotosha umma maana wanajua hata bajeti ikiamuliwa iendikwe upya kwao ni ushindi
Zitto: Mwigulu kwa maksudi kabisa anapotosha umma. Mimi naongea hoja na kwa bahati mbaya siwezi kuongea kwa jazba kama anavyofanya yeye
Mwigulu: Hata fedha za elimu kwa mfano kuendeleza shule maalumu kama Ilboru nilikosoma mimi ni za maendeleo
Zitto: Mimi chuo kikuu nilikuwa mbele yako Mwigulu, na nilipata A kwenye somo la public finance na mwalimu aliyenifundisha ni mshauri wa raisi kwenye mambo ya uchumi
Mwigulu: Kweli chuo kikuu ulikuwa mbele yangu na ulipata A, lakini wewe ulipomaliza ukakimbilia kwenye siasa, mimi niliendelea na Masters na nikapata A nyingine kwenye public finance na masomo mengine yote
Zitto: Pato la ndani kwenye maendeleo ni asilimia 0. Na hata hizo za kukopa ni asilimia 30 badala ya minimum ya 35.
Mwigulu: Hata ukimpa mtoto wa darasa la pili calculator akakokotoa bilioni 700 zilizoko kwenye elimu ni asilimia 7.2, ukijumlisha na ile 30 unapata 37.2
Zitto: Acha kupotosha umma Mwigulu. Sio suala la kukokotoa na calculator, ni suala la mantiki. Hizo bilioni 700 sio zote za maendeleo kwenye elimu bali nyingi ni mshahara na marupurupu
Mwigulu: Walioandaa bajeti ni wataalamu wa wizara ya fedha, na wanajua ni nini wanafanya. Kumbuka mimi ni waziri kamili wa fedha wa CCM, na niko jikoni.
Zitto: Hata kama ni wataalamu, nao ni binadamu. Kuna wataalamu wanafikiria familia zao tu, na kuna wanaofikiria taifa. Na pia bungeni pia wataalamu tupo na haya mambo tunayafuatilia sana
Zitto: Mwigulu kumbuka wewe ni mbunge tu uliyechaguliwa kutoka kule Iramba ambako wananchi hawana maji, wanafunzi wanakaa chini. Mbona unatetea ubovu wa bajeti?
Mwigulu: Mimi sikai tu kusubiri bajeti au kuzungazunguka kama nivyi. Juzi tu nimepeleka madawati hamsini jimboni mwangu...
My take.... Nothing to take here. chakula cha kuku (pumba) tupu...
Mwigulu: Hawa wapinzani wanapotosha umma maana wanajua hata bajeti ikiamuliwa iendikwe upya kwao ni ushindi
Zitto: Mwigulu kwa maksudi kabisa anapotosha umma. Mimi naongea hoja na kwa bahati mbaya siwezi kuongea kwa jazba kama anavyofanya yeye
Mwigulu: Hata fedha za elimu kwa mfano kuendeleza shule maalumu kama Ilboru nilikosoma mimi ni za maendeleo
Zitto: Mimi chuo kikuu nilikuwa mbele yako Mwigulu, na nilipata A kwenye somo la public finance na mwalimu aliyenifundisha ni mshauri wa raisi kwenye mambo ya uchumi
Mwigulu: Kweli chuo kikuu ulikuwa mbele yangu na ulipata A, lakini wewe ulipomaliza ukakimbilia kwenye siasa, mimi niliendelea na Masters na nikapata A nyingine kwenye public finance na masomo mengine yote
Zitto: Pato la ndani kwenye maendeleo ni asilimia 0. Na hata hizo za kukopa ni asilimia 30 badala ya minimum ya 35.
Mwigulu: Hata ukimpa mtoto wa darasa la pili calculator akakokotoa bilioni 700 zilizoko kwenye elimu ni asilimia 7.2, ukijumlisha na ile 30 unapata 37.2
Zitto: Acha kupotosha umma Mwigulu. Sio suala la kukokotoa na calculator, ni suala la mantiki. Hizo bilioni 700 sio zote za maendeleo kwenye elimu bali nyingi ni mshahara na marupurupu
Mwigulu: Walioandaa bajeti ni wataalamu wa wizara ya fedha, na wanajua ni nini wanafanya. Kumbuka mimi ni waziri kamili wa fedha wa CCM, na niko jikoni.
Zitto: Hata kama ni wataalamu, nao ni binadamu. Kuna wataalamu wanafikiria familia zao tu, na kuna wanaofikiria taifa. Na pia bungeni pia wataalamu tupo na haya mambo tunayafuatilia sana
Zitto: Mwigulu kumbuka wewe ni mbunge tu uliyechaguliwa kutoka kule Iramba ambako wananchi hawana maji, wanafunzi wanakaa chini. Mbona unatetea ubovu wa bajeti?
Mwigulu: Mimi sikai tu kusubiri bajeti au kuzungazunguka kama nivyi. Juzi tu nimepeleka madawati hamsini jimboni mwangu...
My take.... Nothing to take here. chakula cha kuku (pumba) tupu...