RICH OIL SHEIKH
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 883
- 167
- Thread starter
- #61
kati ya hawa nani kazaliwa dar?,JK,slaa,mbowe,maalim seif,bakhresa,magufuli,papa msofe,lowasa,zitto na wengineoo.DAR kitu gani
Nilikuwa nam reply zuzu mmoja huko juu; hata siku moja uwezi kuona najivunia U dar, asili ya wazazi wangu si dar na hiyo ndo asili yangu. Na hao ulowataja juu; mbowe = msofe = lowasa wote matapeli tu, umesahau mbowe alivyotuuzia malori yake. ZITO ni kiongozi pekee makini wa magwanda. Bakhresa ni smart and rich guy, Jk ni president wetu hata kama babu padre hataki.