Viazi Vya Urojo Na Chana (a.Ka. Mixa au Chana Batata

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,810
Viazi Vya Urojo Na Chana (a.Ka. Mixa au Chana Batata)

Vipimo
• Chana kavu ................................ 2 Magi (mugs)
• Viazi ........................................... 8-10 Vikubwa
• Unga wa ngano .......................... ¾ Magi
• Kitunguu kikubwa kimoja
• Majani ya kihindi (curry leaves)............. kiasi ( majani 15)
• Nyanya moja
• Mafuta ya kupikia kiasi
• Bizari ya manjano .................................. ½ kijiko cha chai
• Embe Mbichi kali na Ndimu au ukikosa embe unaweza tumia Ndimu peke yake
• Chumvi ................................ kiasi
• Pilipili ya mbuzi au ya unga (ukipenda)

Namna Ya Kutayarisha Na Kupika

• Roweka Chana nzima kavu ikiwezekana usiku mzima kisha zichemshe hadi ziwive. Chuja maji yaliyobaki ziweke kavu pembeni.
• Tia mafuta kwenye sufuria, tia vitunguu vilivyo katwa katwa, Binzari manjano na majani ya kihindi kaanga kidogo kisha tia nyanya zikaangike kidogo. Zikisha wiva kidogo tia embe mbichi ndimu pilipili na chumvi kisha wacha ziwive.
• Chemsha maji ya kutosha na mimina unga wa ngano na bizari ya manjano kama unavyopika uji mwepesi, koroga usigande mpaka uwive...
• Katakata vipande vidogo vidogo vya viazi na umimine kwenye uji huo unaochemka, tia chumvi na pilipili ukipenda.
• Koroga koroga visigande vikikaribia kuwiva mimina Chana zako ulizozichemsha kisha tia ndimu ikolee mpaka viwive.
• Epua tayari kwa kuliwa hasa na bajia, kachori, chipsi za muhogo na chatini kama utakavyopenda.
 
Viazi Vya Urojo Na Chana (a.Ka. Mixa au Chana Batata)

Vipimo
• Chana kavu ................................ 2 Magi (mugs)
• Viazi ........................................... 8-10 Vikubwa
• Unga wa ngano .......................... ¾ Magi
• Kitunguu kikubwa kimoja
• Majani ya kihindi (curry leaves)............. kiasi ( majani 15)
• Nyanya moja
• Mafuta ya kupikia kiasi
• Bizari ya manjano .................................. ½ kijiko cha chai
• Embe Mbichi kali na Ndimu au ukikosa embe unaweza tumia Ndimu peke yake
• Chumvi ................................ kiasi
• Pilipili ya mbuzi au ya unga (ukipenda)

Namna Ya Kutayarisha Na Kupika

• Roweka Chana nzima kavu ikiwezekana usiku mzima kisha zichemshe hadi ziwive. Chuja maji yaliyobaki ziweke kavu pembeni.
• Tia mafuta kwenye sufuria, tia vitunguu vilivyo katwa katwa, Binzari manjano na majani ya kihindi kaanga kidogo kisha tia nyanya zikaangike kidogo. Zikisha wiva kidogo tia embe mbichi ndimu pilipili na chumvi kisha wacha ziwive.
• Chemsha maji ya kutosha na mimina unga wa ngano na bizari ya manjano kama unavyopika uji mwepesi, koroga usigande mpaka uwive...
• Katakata vipande vidogo vidogo vya viazi na umimine kwenye uji huo unaochemka, tia chumvi na pilipili ukipenda.
• Koroga koroga visigande vikikaribia kuwiva mimina Chana zako ulizozichemsha kisha tia ndimu ikolee mpaka viwive.
• Epua tayari kwa kuliwa hasa na bajia, kachori, chipsi za muhogo na chatini kama utakavyopenda.

ok thanks ngoja kesho nitengeneze..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom