Viatu vya Nyerere nani atafanikiwa kuvivaa? Nani katuloga part one!

luckman

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
1,211
371
Ni muda wa miaka 16 watanzania tumeanza kudidimia kiukweli, mwanzo hatukuona ila madhara yameanza kuonekana kwa kipindi cha miaka sita iliyopita! kuna wakati najiuliza hivi sisi tulimkosea mungu?? ni nini hasa hali kuna mataifa wamefanya maafi damu za watu zimemwagika lakini sasa hivi hatua tunaziona??je watanzanzania hatuna akili?sio kweli sasa tatizo nini?? ni nani ataweza kuendeleza mazuri aliyoacha mwalimu masikini baba yetu! kazi ya mungu haina makosa! je nani atakuwa speaker wa wananchi?nani atakuwa mwanasheria wa nchi?? ni nani atakuwa mkuu wa shirika la mapato ya wananchi (tra) nani atakuwa DPP wa serikali??? sijamuona, nasema sijamuona!! 42 mill of people tuna haja ya kungangania mtu mmoja eti kisa ni rafiki yangu na kwa kuwa kamwaga kwenye ubunge basi nimpe mkoa??? kuna haja ya kumteua mwenyekiti au mjumbe wa bodi fulani, kuwa mkuu wa mkoa na hapo unaweza kukuta ni mbunge??jamaini ssisi tumelogwa na nani?? je waziri wa nishati ni nani?? kweli mungu yupo katikati yetu make tumeweza kujiendesha wenyewe na tumefika hapa!makaa ya mawe, maji, gasi, ardhijoto, uranium,upepo wa bahari, upepo wa nchi kavu vyote vinapatika hapa! iweje leo nchi ina giza???watanzania tumelogwa na nani???iweje na iweje raisi na mawaziri wanatudanganya uchumi umekuwa hali uzalishaji umepungua??? tum,erogwa hee!!iweje maliasili zetu zinakamatwa nje tena mbali zinasafirishwa huku wapo watu tuliwapa dhamana na hawajatimiza je mipakani zinapitaje? NA NI ATUA GANI ZINACHUKULIWA??? TUMELOGWA KWELI SISI AKI YA MUNGU!Inakuwaje madhambi yanaibuliwa na hakuna chombo husika kinachukua hatua, imebaki nchi ya wachache waliojenga mtandao wa kulindana na kuanisi maliasili zetu, TUMELOGWA HADI AKILI MWETU ??SIO KWELI HAPA KUNA KITU!iNAWEZEKANAJE mtu kasubmiti fomu ya mali zake tume ya utumishi wa uma na baadae anagundulika kuna mali zingine hakuzijaza na bado hachukuliwi hatua na hapo unahitaji ushahidi?? tunajenga kizazi gani kwa staili hii! nani atakuwa nani na wapi na kwa kutumia system gani??EEH MUNGU TUONDOLEE HII LAANA! AMA KWELI NYANI TUNAZIFUKUZA NA KUZIPIGA NA MAWE HALI WAZUNGU WANATOKLA ULAYA KUZITAZAMA!
 
Back
Top Bottom