WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
uwe na birthcertificate
Ahsante smile!! naipenda avarta yako sijui ndo wewe kweli. Lol
uwe na birthcertificate
hao wageniwatakuwa na uwezo wa kuvipata kabla yako....loli cant wait to have mine, vitumike kwenye kuombea ajira ili kuzuia wageni wasichukue ajira za wazawa
ndo mimi jana si ulinikana weweahsante smile!! Naipenda avarta yako sijui ndo wewe kweli. Lol
mwenye swali?
ni fomu tu iyo unajaza ina nafasi
Vitambulisho vya Kitaifa vitakavyotolewa vinategemewa kuwa SMART na kwamba*taarifa zote hizo zitabebwa kwenye hicho kitambulisho, kwa mfano, imetokea umesahau kadi yako ya kupiga kura, badala ya kutokupiga kura kwa kuwa huna kitambulisho cha kupiga kura, basi utaweza kutumia Kitambulisho chako cha Utaifa kwa ajili ya*kupigia kura halali.
naipenda avarta yako sijui ndo wewe kweli. Lol
ndo mimi jana si ulinikana wewe