snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
toka nikiwa mdogo kuna vitu nasikiaga na labda vimeingia kichwani mwangu,ila naomba kuwauliza kama ni kweli inatokea,,,,mfano ni ile ya kupiga chafya unaambiwa kuna mtu atakuwa anakuongelea,ama kujing'ata mtu anasema msosi ni mtamu,je nyie inawatokeaga,,,,,je wewe kuna viimani gani unajua au una-amini
nimeviita vi-imani kwa sababu hatuchukulii seriously na sio lazima
nimeviita vi-imani kwa sababu hatuchukulii seriously na sio lazima