Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,443
- 113,452
Wanabodi,
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini, VETA, wamezindua chuo pekee kilichopo mkoani Manyara. Mkoa huu, ni moja ya mikoa mipya ambao hauna chuo kingine chochote cha elimu yoyote zaidi ya hiki chuo cha Veta kilichozinduliwa leo!.
Uzinduzi huo, uliofanyikia katika mji wa Babati, umefanywa na Makamo wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal aliyeandamana na Naibu Waziri wa Elimu, Mhe. Philip Mulugo, Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Veta, Prof. Idrissa Mshoro, na Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Eng. Zebadiah Moshi.
Hotuba za uzinduzi zinaendelea,
Endelea kufuatana nami.
Pasco.
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini, VETA, wamezindua chuo pekee kilichopo mkoani Manyara. Mkoa huu, ni moja ya mikoa mipya ambao hauna chuo kingine chochote cha elimu yoyote zaidi ya hiki chuo cha Veta kilichozinduliwa leo!.
Uzinduzi huo, uliofanyikia katika mji wa Babati, umefanywa na Makamo wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal aliyeandamana na Naibu Waziri wa Elimu, Mhe. Philip Mulugo, Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Veta, Prof. Idrissa Mshoro, na Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Eng. Zebadiah Moshi.
Hotuba za uzinduzi zinaendelea,
Endelea kufuatana nami.
Pasco.