ngelemakumulu
Member
- Oct 22, 2011
- 17
- 2
waliokuwa interviewed na deloitte vipi veta wameshaita?
Mwanzoni kupitia jukwaa hili kuna mdau alisema wameambiwa labda february kwa sababu serikali haina fedha.kuna mdau yeyote mwenye taarifa zao?tafadhali mtujuze.
Mwanzoni kupitia jukwaa hili kuna mdau alisema wameambiwa labda february kwa sababu serikali haina fedha.kuna mdau yeyote mwenye taarifa zao?tafadhali mtujuze.