TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,889
- 11,284
anagalia usije ukawa unajiombea mwenyeweKwanini lisinge ugua limasanja linakera sana siku hizi.
anagalia usije ukawa unajiombea mwenyeweKwanini lisinge ugua limasanja linakera sana siku hizi.
ugonjwa wa vengu unaitwa brain tumer sijui kama nimepatia spelling, lakini unausiana na upotevu wa fahamu ghafla na ukimuona mtu wa aina hiyo unaweza kuhisi kalewa!
Masanja anakera nini? Au n wewe unaishi alipoolewa dadako?
ugonjwa wa vengu unaitwa brain tumer sijui kama nimepatia spelling, lakini unausiana na upotevu wa fahamu ghafla na ukimuona mtu wa aina hiyo unaweza kuhisi kalewa!
Now this is misleading! Hata malaria tu watu hupoteza fahamu! Umekosea diagnosis alongside spellings.
Ungua pole kijana,Mungu akuponye
Huyu jamaa regulator ya tabasamu lake imeshakufa! How do u smile at an unconscious person? Kha!
Wewe ni tabibu?
Wewe ni daktari?
Brain tumour ni aina ya cancer inayoshambulia ubongo. Dah! pole sana Vengu, ugonjwa huu namkumbuka ndugu yangu nilikuwa namuuguza pale ocean road.
Mganga wa jadi multifunctional. Natibu,nasoma nyota, u name it, lol! Unahitaji matibabu?
Kwanini lisinge ugua limasanja linakera sana siku hizi.
You are a witch doctor. I'll beat you up like you've stolen something from me.
I can give u the magic to disappear from thin air! Bt. Gotta pay,ngabu boy!
Namtakia amani na utulivu Vengu, alianza vizuri sana, aliandika kitabu kizuri sana... lakini naona baada ya kuingiza ze komedi alipotea njia kijamii, naomba apone ili awe mwalimu mzuri kwa vijana wote hasa kuhusu umaarufu na ujana
He was the brightest, yet sometimes alikua anahribu sana juu ya pombe
Ugua pole