VENGU (Joseph Shamba) anaumwa, kalazwa Muhimbili tumuombee na kumjulia hali

ugonjwa wa vengu unaitwa brain tumer sijui kama nimepatia spelling, lakini unausiana na upotevu wa fahamu ghafla na ukimuona mtu wa aina hiyo unaweza kuhisi kalewa!


Brain tumour ni aina ya cancer inayoshambulia ubongo. Dah! pole sana Vengu, ugonjwa huu namkumbuka ndugu yangu nilikuwa namuuguza pale ocean road.
 
Now this is misleading! Hata malaria tu watu hupoteza fahamu! Umekosea diagnosis alongside spellings.
Ungua pole kijana,Mungu akuponye
ugonjwa wa vengu unaitwa brain tumer sijui kama nimepatia spelling, lakini unausiana na upotevu wa fahamu ghafla na ukimuona mtu wa aina hiyo unaweza kuhisi kalewa!
 
Haya NN, angalia huyu super specialist! Spelling alongside fatal misdiagnosis!humu jf unaweza kudata kama sio great thinker/ sinker
Brain tumour ni aina ya cancer inayoshambulia ubongo. Dah! pole sana Vengu, ugonjwa huu namkumbuka ndugu yangu nilikuwa namuuguza pale ocean road.
 
Mwenyezi Mungu msaidie kiumbe wako aondokewe na maradhi yanayomsumbua ili aendelea na majukumu uliyomkabidhi hapa duniani
 
Namtakia amani na utulivu Vengu, alianza vizuri sana, aliandika kitabu kizuri sana... lakini naona baada ya kuingiza ze komedi alipotea njia kijamii, naomba apone ili awe mwalimu mzuri kwa vijana wote hasa kuhusu umaarufu na ujana

He was the brightest, yet sometimes alikua anahribu sana juu ya pombe

Ugua pole

kinaitwaje hicho kitabu. Nataka nitafute nisome.
 
Hawijje Bambo Joseph Vengu na pole sana Mtoto wa Mlabani A karibu na Nazareti Ifakara.Bambo/ Ganja tunakuombea kwa Mungu..Taarifa zitaafikia wote wa Kwa Degge,Kwa Nguruwe ,Mapinduzi n.k. Ugua pole ganja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom