Vita ya siku sita alishinda kwa sababu ya unafiki wa waarabu. Kwa kuwa waarabu wameanza kuelewa uadui wa wazayuni na marekani yake watajipanga ili kushinda. Kwanza Israel haina uwezo mkubwa kama unavyofikiri wewe. Inasaidiwa na Marekani kunzia silaha mpaka fedha. na mwezi uliopita imesaidiwa submarine na ujerumani.
Labda kumbuka jinsi walivyochapwa na Hizbullah ya Lebanon na wakaikimbia nchi hiyo: mwaka 2002 na wakavamia tena mwaka 2006 wakachezea kichapo kwa siku 33 kisha wakajivua gamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.