Wow! Do people still dress like this nowadays? This is not attractive at all.:A S 13:
Ha ha ha! sasa hapo mshindi ni mwenye tumbo kubwa zaidi au?
hakuna ubaya wowote kuvaa nguo kama hii akiwa chumbani na mpenzie na jamaa akilichezea tumbo na wote wakiongea na mtoto wao.
Yaani hii design inahakikisha mama mjamzito anapata hewa wakati wote bila kubanwabanwa!