WOWOWO
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 590
- 430
Yaani waziri unavaa kitoto mpaka pindo za chupi na mahaga yanaonekana mbele ya hadhira kweli!!!
Sasa hapo vijana wetu wanajifunza nini na tunapata tafsiri gani hapo? Jamani nimesikitishwa sana na vazi la waziri na ameniharibia siku yangu waziri anapaswa kuwa kioo cha jamii mambo ya fashion, kuuza sura hayatakiwi kwa kioongozi wa serikali mzito kama wewe uliye pewa dhamana na rais.
Pengine hiki ndicho kilichomfanya akapewa huo uwaziri sasa atafanyaje? Lazima aendelee kuonesha sehemu zake ili kuzidi kuwateka na kuwavutia wakubwa.Ni aibu ya mwaka hii. Kwamba Waziri anayepaswa kusimamia Utamaduni ndiye ana uharibu.Shame.