Samahani sana kwa wale wenye kutawaliwa na jaziba.
naomba nijibiwe swala langu hili linalonisumbua. Toka nizaliwe mpaka leo kila nionapo picha ya Bikra maria huwa naona vazi lake ni Hijabu, lakini nikiiangalia jamii ya wakristo sioni wanawake zao kujipamba kwa mithili ya mavazi ya Bikra maria.
1.swali ivi ni kwanini wanawake wakristo hawavai kama alivyokuwa anavaa bikra maria?
2.Je ma sister kuvaa vile wavaavyo ipi reference yao? and why not for other kristian woman?
naomba nijibiwe swala langu hili linalonisumbua. Toka nizaliwe mpaka leo kila nionapo picha ya Bikra maria huwa naona vazi lake ni Hijabu, lakini nikiiangalia jamii ya wakristo sioni wanawake zao kujipamba kwa mithili ya mavazi ya Bikra maria.
1.swali ivi ni kwanini wanawake wakristo hawavai kama alivyokuwa anavaa bikra maria?
2.Je ma sister kuvaa vile wavaavyo ipi reference yao? and why not for other kristian woman?