Vazi hili mie kichwa zunguka

LISAH

Senior Member
Jan 28, 2012
108
24
Watanzania wanahitaji sana vazi la taifa kwa sasa?
Faida yake nini hasa?

Maana campaign zake ni kiboko na sasa kamati kuzunguka mikoani kutafuta mawazo ya hilo vazi liweje?

Kwa pesa ipi?
 
kama wajinga tu kuna mambo ya maana ya kufanya mnayaacha mnakalia kupoteza pesa kwa kuzunguka na kutafuta maoni ya vazi ambalo halitavalika kwanini hizo pesa msiwape madktari wakarudi kazini.
 
Eti vazi liwe na alama ya bendera ya taifa, ivi Ghana au wanaijeria mavazi yao yana rangi ya bendera zao?

Mbaya zaidi wameisha weka masharti, sasa wanatafuta maoni ya nini wakati tayari vazi linafahamika?
 
Hapa mi naona wanahangaika bure tu just wachukue bendera ya taifa na kushona masuruali,mashati,magauni N.K ndo vazi la taifa hilo
 
Kwa nini wasiseme msuli uwe ndi vazi la taifa? halafu jk alivae atakapokutana tena na obama kazi kwisha
 
U upuzi wa kutaka kutwondoa kwenye kufikiri vitu vya mana, eti vazi la taifa, hv kweli nchimbi huna cha kuifanyia nchi zaidi ya huo upuzi. Wacha hzo staki amin dk unatilia manani na kwendekeza upuzi wa clouds kiasi hicho..
 
U upuzi wa kutaka kutwondoa kwenye kufikiri vitu vya mana, eti vazi la taifa, hv kweli nchimbi huna cha kuifanyia nchi zaidi ya huo upuzi. Wacha hzo staki amin dk unatilia manani na kwendekeza upuzi wa clouds kiasi hicho..

Kweli Nchimbi anawaangusha sana vijana, badala ya kuwanoa vijana kuchangia juu ya katiba anaanza kupotezea na ajenda yake ya vazi.
Hilo vazi litaongeza nini katika maisha ya mtz wa kawaida?
 
Jamani kweli tz ni noooma vazi la taifa ili iweje kama tu mavazi ya tamaduni zetu yametushinda ilo lataifa ni porojo tu,
vp vazi lataifa liwe tshit na jinsi.
 
Watanzania wanahitaji sana vazi la taifa kwa sasa?
Faida yake nini hasa?

Maana campaign zake ni kiboko na sasa kamati kuzunguka mikoani kutafuta mawazo ya hilo vazi liweje?

Kwa pesa ipi?[/QUOTE]

Hii hii inayotokana na kodi yako wewe Mtanzania!

Juzi kwenye mdahalo ITV,kuna mtu aliwauliza km masai walifanya midahalo,na kuzunguka kuchua maoni ya watu ili wapate vazi lao maarufu la kimasai! hakukuwa na jibu.
 
kama wabunge na viongozi wetu wanaaamini ukivaa suti ndio nguo ya heshima kweli hilo vazi lao wanalotaka si litakua la kimagharibi zaidi maaaana ni wachache sana utawaona wamevaa walau mavazi ya kiafrika.
hiii mie naona ni kupoteza tu hela zetu za kodi maana hii ni mara ya pili sasa wanatafuta vazi la taifa kama ubongo wangu haujakosea kuload data
 
Kwa nini wasiseme msuli uwe ndi vazi la taifa? halafu jk alivae atakapokutana tena na obama kazi kwisha
daaah hahaha na hii campen ya uhuru ya ndoa za jinsia moja duuu, mchumba atampata faster na nikikumbuka maneno ya shehe yahaya. :juggle:
 
Sioni umuhimu wa vazi. Hebu wazunguke kujadili foleni za Dar watazimalizaje pamoja na kupanda kwa kila kitu kuliko kupoteza muda na pesa ya mlala hoi.
 
ni wajanja wachache tu wamepungukiwa pesa za kuwatumia watoto zao huko nje ya nchi hivo wamebuni ka mradi,kazi iiipo na baaado,TUTAIMBA HALLELLUJAAH
 
Kila nikisikia habari za hili vazi la taifa, najuiliza nani atalivaa? na wakati gani? Au kuna mpango wa wabunge kuvaa uniform wakiwa bungeni? au viongozi kwenye shughuli za kitaifa nje ya nchi? Sasa zile suti zao itakuwaje? na sasa ni wakati muafaka? hivi watoto wangapi hawana uniform wanatembea masaburi nje? Kwanini tusiwekeze hizo pesa za vazi la taifa kuifunika aibu hii!
 
Back
Top Bottom