I think mlipaji ni yule anayepokea toka kwa mpangaji,hebu fikiria yale majengo yote ya masaki yakilipa vat si itakuwa safi.ila sasa kwa kuwa yote ya wakubwa hawatalipa kodi
Bongo lazima tena chondechonde kule Arusha serikali imepoteza mapato yake mengi sana kwenye majengo haswa ya upangishaji. Kwa mfano, hawa UNCTR/Mahakama ya kimataifa wafanyakazi wanapnagishiwa nyumba kwa siyo chini ya dolar 500$ (Hakuna kodi hapo clean money mifukoni mwa watu) kwa mwezi na wameishi Arusha kwa zaidi ya miaka kumi.
Kwa hiyo jama tusimtafute mchawi tulipe kodi wajameni, tena kwa gadhabu.
Hili la serikali kutotoza kodi ni swala la kisera - kwa sisi wenye mwelekeo wa ki'republican'/conservative/mlengo wa kulia - haya ndiyo mambo tunayopigania. Money laundering ni kitu kingine .. tusichanganye
Ebu fafanua vizuri hiyo kodi analipa nani na kwenye transaction ipi?????
Kwa mtikisiko wa uchumi duniani hata wenye MADANGURO, maCD na maDVD tutawatoza kodi,
Hakika hakuna jambo geni katika bajeti ya Tz kuhusiana na kodi za nyumba.
Toka zamani kuna kodi nyingi ambazo mwenye nyumba anapaswa kulipa mara baada ya kupokea kodi yake.
Kuna WITH HOLD TAX ambayo ni 2%ya total amount ya kodi yako pamoja na VAT ambayo ni 20%.
bajeti ya 2009/2010 imeshusha hilo na kufanya VAT kuwa only 18%.
Ila kwa sababu serikali ilikuwa haifuatilii ndio maana engi hawaijui lakin hakuna jipya