Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Fidel80 nakuunga mkono, kuondoa hii kadhia mwambie salama yake muende akatoe hii mimba, ni adhabu tosha kwake. Halafu na yeye atoe kizazi. Sema uwe makini anaweza sasa kuuza mechi balaa maana nyavu hazitingishwi utajuaje?
Akitoa kizazi jamaa watakuwa wanapewa kila kukicha.......ndio mambo ya kwenye ndoa jamani