Yaani wewe! Mwenzio anaogopa presha ya kupanda unampa hongera! Kweli huku kulea sio mchezo.
Miezi 10 iliyopita niliamua kufanyiwa uzazi wa mpango kwa kutumia ile njia ijulikanayo kwa jina la VASECTOMY. Hii ni baada ya kuona mwenzangu 'hesabu' zimemshinda kabisa. Nikaona ili kuepuka uwezekanao wa kuwa na familia yenye idadi ya timu ya mpira-maana watoto 8 ktk ndoa ya miaka10 sio mchezo-nikaona acha jukumu la uzazi wa mpango nilichukue mwenyewe. Nikaamua kufanyiwa vasectomy.
Miezi miwili imepita sasa, nimegundua mke wangu ni mjamzito, tena wa miezi 3. Hii ni baada ya kuona dalili zile zinazoambatana na mimba changa. Nilipohisi nikaamua kumpeleka hosp lakini bila yeye kujua, nikaongea na daktari ampime mimba na anipe majibu privately. Mungu si Athumani, vipimo vikaonyesha mke wangu ana mimba ya miezi miwili. Sikuonyesha kushangaa mbele ya dr kwani sikutaka ajue mshangao wangu ktk hilo. Hata hivyo wife ameshaanza kuhisi kuwa amenasa, na amekosa amani ghafla.
Awali nilidhani huenda hiyo operesheni haikufanywa vizuri, lakini nilipoenda kuangaliwa upya mtaalamu iko sawa na nisingeweza kumtia ujauzito my wife. Hivyo ni wazi mimba hii ni ya mwanaume mwingine.
Wajemeni naomba mnishauri nifanyeje. Na kama ni adhabu, nimpatie adhabu gani..........nimchinje, nimpe talaka, au niendelee kulea 'kiumbe cha mwanaume mwingine?
Miezi 10 iliyopita niliamua kufanyiwa uzazi wa mpango kwa kutumia ile njia ijulikanayo kwa jina la VASECTOMY. Hii ni baada ya kuona mwenzangu 'hesabu' zimemshinda kabisa. Nikaona ili kuepuka uwezekanao wa kuwa na familia yenye idadi ya timu ya mpira-maana watoto 8 ktk ndoa ya miaka10 sio mchezo-nikaona acha jukumu la uzazi wa mpango nilichukue mwenyewe. Nikaamua kufanyiwa vasectomy.
Miezi miwili imepita sasa, nimegundua mke wangu ni mjamzito, tena wa miezi 3. Hii ni baada ya kuona dalili zile zinazoambatana na mimba changa. Nilipohisi nikaamua kumpeleka hosp lakini bila yeye kujua, nikaongea na daktari ampime mimba na anipe majibu privately. Mungu si Athumani, vipimo vikaonyesha mke wangu ana mimba ya miezi miwili. Sikuonyesha kushangaa mbele ya dr kwani sikutaka ajue mshangao wangu ktk hilo. Hata hivyo wife ameshaanza kuhisi kuwa amenasa, na amekosa amani ghafla.
Awali nilidhani huenda hiyo operesheni haikufanywa vizuri, lakini nilipoenda kuangaliwa upya mtaalamu iko sawa na nisingeweza kumtia ujauzito my wife. Hivyo ni wazi mimba hii ni ya mwanaume mwingine.
Wajemeni naomba mnishauri nifanyeje. Na kama ni adhabu, nimpatie adhabu gani..........nimchinje, nimpe talaka, au niendelee kulea 'kiumbe cha mwanaume mwingine?
well said Mkuu!Mkuu kabla ya kuanza kurusha ngumi inabidi ufanye uchunguzi wa kina. Hili la Wanaume waliofanyiwa Vasectomy ili wasiweze tena kutia mimba na baadaye wakaweza kutia mimba lipo sana. Na wengi huwa wanafungua kesi dhidi ya Daktari aliyoifanya hiyo Vasectomy. Hivyo inawezekana kabisa kwamba mimba hiyo ni ya kwako na si ya mtu mwingine. Vuta subira labda usubiri hadi ufanye DNA au ukaangaliwe na mtaalamu mwingine kama bado una uwezo wa kutia mimba pamoja na kufanyiwa hiyo Vasectomy.
pole sana ila kwangu mimi la kwanza ni kusamehe japo si rahisi kwa ubinadamu wetu. sikushauri upime DNA haitakusaidia zaidi itakuchanganya.wewe sio wa kwanza kupata tukio hilo kuna ndoa mama nawatoto wawili wazungu na ndoa bado ipo.ukifuatilia sana unaweza kushangaa hata wewe unaweza usiwe raia wa ukoo unaojiita .punguza hasira jaribu kufikiria mazuri zaidi katika kuhukumu.kumbuka huwezi kuishi bila mwanamke mwingine kwa uzoefu wangu lakini unauhakika gani kuwa utakaye kuja ni salama zaidi. pia fikiria investment capital uliyoiwekeza kabla ya kuoa nahuyu mpya utakaye kurupuka, mbaya zaidi ushakuwa sio mkamilifu tena kwa oparation uliyo fanya tumia busara usiogope watu angalia utu wako watoto kumi ni wengi kufanya maamuzi ya kuacha mke. kaa unaweza kulea watoto wa dada yako ambao hauna ukoo nao utashindwaje kulea mtoto/watoto wa mkeo unayeangalia afya yako na watoto wako achilia mbali starehe ya dunia unayoipata.fikiria angekudai 2000 kwa kuishi kwake na wewe na kazi anazo fanya kwa siku toka umemuoa ungeweza kumlipa? tunza mtoto kila mtu anamapungufu yake ukimsamehe kwa hili nakuhakikishia atakuwa mke wa maana na kukujali kwani litakua deni ulilomkopesha. anza kufikiria mahitaji ya mtoto bila kinyongo achana na *habari za kukuchanganya
ntaanza kufanya DNA test very soon ili niweze kujua 'gravity' ya hii kitu, nahisi nimedhalilishwa sana mbele ya jamii. afadhali ingekuwa sijafanya hiyo operation ingekuwa rahisi kupotezea lakini ni ngumu ktk hali yangu ya sasa.
Hapa mzazi akizaa tu nae zamu yake akakate mirija huna jinsi hapo we elea tu mimba ya mme mwenzio au mlazimishe atoe inauma sana.
ntaanza kufanya DNA test very soon ili niweze kujua 'gravity' ya hii kitu, nahisi nimedhalilishwa sana mbele ya jamii. afadhali ingekuwa sijafanya hiyo operation ingekuwa rahisi kupotezea lakini ni ngumu ktk hali yangu ya sasa.
ashakugeuza mume *****,
inaonyesha huyo mkeo yeye bado anapenda kuwa na watoto,hata kama mlikubaliana tayar,
then jaribu kuchunguza unaweza kuta hata hao watoto ambao tayari mnao wote si wako,
nijuavyo mimi ni kwamba vpo vya kushare,si malavdav