Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
ukute na hao wengine wote sio wako sijui itakuwaje na ushafyeka production zone una hatari wewe heri usipimentaanza kufanya DNA test very soon ili niweze kujua 'gravity' ya hii kitu, nahisi nimedhalilishwa sana mbele ya jamii. afadhali ingekuwa sijafanya hiyo operation ingekuwa rahisi kupotezea lakini ni ngumu ktk hali yangu ya sasa.