MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 182
..safu ya viongozi kwenda kuaga msafara, kisha safu ya viongozi kwenda kupokea msafara!
...hili liinchi linazalisha nini cha kutufanya tuweze kutumbua namna hii hizi pesa za kujiombeleza kila kukicha?!!
Niliongelea hii kwenye thread moja wiki iliyopita, hawa jamaa kwanza hawana kazi? Membe na hao wengine wote wanafanya nini hapo? na kila mmoja ameenda hapo na msafara wa magari, nchi hii sio masikini hata kidogo, inawezekana ni masikini wa viongozi wenye fikra sahihi, and we seem to loose the plot every time.