beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
mekaa hapa roho hainipi kabisaa nkasema laahasha yabid niingie humu maana my judgement sijawasiliana nae leo saana kwakweli sasa wale mliokuwa mnajifanya mnamkeep busy baasi mwenye mali ndo nshatua maana nilikuwa nahisi kama kuna vibaka. Za jioni lakin jaman