Aaa acha bwana ubize bongo? Huo muda kidogo ndo yatatokea hayo yote! Hizo fix tu hauko tayari kufanya hivyo kwasababu utashaa mwenyewe sms zinavyomiminika ooh! My sweet luv nataka unipe dozi ya ukweli kama siku ile,mwaka jana siku kama hii watu waliachana.