Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Halafu hapa Dar angalau haka kajoto kanatakatisha watu ngozi.Mbeya nadhani wanaongoza kwa kujichubua(PEPSI/MIRINDA )na mbaya zaidi wanawake wengi wana ndevu.Sasa na lile baridi ndio inakuwa balaa.