habari tanzania....nimekua nikisoma sana posts nyingi sana za kuhusu wanawake...mara wadau wanasema hawa wa kabila hili wazur zaidi mara hawa malaya zaidi...mi nataka niwaaambie ukweli uliothibitishwa...mwanamke hachaguliwi kwa kabila,anachaguliwa kwa tabia...ilikua zamani sasa hivi unaweza mkuta mwanamke wa kichaga kicheche kuliko mpare,mhaya kicheche kuliko mrangi nk...so tafadhali msiwajudge wanawake kwa makabila yao,,,,mnajidanganya sanaaaaaaaaaaaaa................umalaya ni tabia ya mtu...tumwombe Mungu atupe wake wa kufanana nasi....