The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Sijaona bado nimependa usafiri wakoMichele umeona dada ee!!
Sijaona bado nimependa usafiri wakoMichele umeona dada ee!!
ndio Susy wangu....niko katika utafiti binafsi nitakuja na majibu baadaye kidogo....l.o.l
Uwe na weekend njema Susy....Mungu akutunze.
Yapo maono ambayo sijui kama yamethibitishwa au ni ya kihisia tu ya kuwa na yanayodai kuwa "usafiri" kwa maana miguu ya mwanamke inakupa picha ya "uzuri wake" kiundani au sijui niseme kinguoni zaidi.ninajaribu kutumia maneno ambayo hayakwaruzi............lakini ninaamini nimeeleweka...........................
Swali langu huu utafiti wa "usafiri" kuthibitisha "uzuri" wa mwanamke umefanyika lini au kwa namna gani na je kuna ukweli kwenye hilo?
hivi nyie mnamatatizo gani??
tumechoka na hizi mada za wanawake!!! nyie mkiaanzishiwa mada hapa mwaruka ka Tai!!!
Sijaona bado nimependa usafiri wako
Susy hawa ndo mana wanauziwaga mbuzi kwenye gunia, na tunawapatia haswa, ukiona wanashobokea hips, nenda kwa mchina, mshahara wote mwisho wa mwezi anakukabidh, miguu kwa mchina pia ipo, weupe ndo usiseme! Wamesahau UZURI wa mwanamke sio hips, miguu, weupe, weusi n.k. Kazi wanayo.
umesema ukweli sana waambie 'what you see is not always what you get"...furahia weekend yako!
:fear::fear::fear:teh teh teh u have make my wk end my love!!!
wataisoma no!! kama ni plate no ya gari au ndio no ya simu!!!
Naona hii mada ni ya nyie guys, maana mnaelewa zaidi... Alaf thread za safari hii naona mmetuapania!
Suzy vp? au usafiri wako ni ule wa kanda ileee??
Tunaenda tena kwa wachina kuujazia, wala sikuachi ng'oteh teh teh!!! shauri zako wa kichina huu lol!!! baada ya miaka 2 unaanza kumongonyoka sijui utaniacha au itakuaje!!!!
Usafiri Ruta sometimes kweli huwa unachangia and definitely una turn mens heads mjiniPHP:Naona hii mada ni ya nyie guys, maana mnaelewa zaidi... Alaf thread za safari hii naona mmetuapania!
yaani umeuelewa ujumbe wenyewe......only men can answer this question.....ila nanyi mnaweza kuzungumzia yale ambayo huwa mnayasikia au kuyasikilizia......................kuwa vipimo vinasemaje......................
mi nafikiri umekosea kwenye "conceptual framework"
hizo hizsia zipo na tunajua kuwa zipo na zimechochea hata baadhi ya mitindo ya mavazi kutamalaki. mfano vazi la mini skirt au pensi nk huvuta sana macho ya wanaume kwa sababu huweka wazi miguu {usafiri). lakini ki-ukweli mwili mzima wa mwanamke huvuta sana hisia za mwanaume, iwe nyayo, nywele, mabega, viwiko nk. huko "nguoni" unakosema nafikiri hata wewe unajua ni danger zone! pakiachwa wazi huwa ni zaidi ya kuvutia, inaweza kusababisha "maafa" huko nguoni wanawake wote wanavutia hakuna mwenye miguu au mlemavu wa miguu, mwenye matege au misonobari, ukipafikiria huko unakuwa uko step ya juu zaidi ya hizo hisia za miguu.
hayo ni maumbile ya kibinadamu tu na hakuna tatizo
so mi naona ulichokosea ni ku-conceive kuwa "kuna hisia kuwa "usafiri" hutoa picha ya undani/nguoni mwa mwanamke". ulipaswa ku-conceive kuwa "kuna hisia kuwa "usafiri" ni moja ya maeneno yanayovutia mwilini mwa mwanamke" nasema hivyo kwa sababu
ni mtazam wangu tu,
Usafiri Ruta sometimes kweli huwa unachangia and definitely una turn mens heads mjini
we jambazi hembu tulia!!!
iwe vyovyote mimi namshukuru Mungu muumba wa mbingu na nchi!!! kwa maana ameniumba kwa mfano wake!!!
Namtukuza Mungu hivi nilivyo, rikabobosika ya mandooo!!! pokea Mungu sifa na utukufu maana unastahili!!! Nakuinua Jehova mwenye enzi zote kwa jinsi nilivyo!!
we jambazi hembu tulia!!!
iwe vyovyote mimi namshukuru Mungu muumba wa mbingu na nchi!!! kwa maana ameniumba kwa mfano wake!!!
Namtukuza Mungu hivi nilivyo, rikabobosika ya mandooo!!! pokea Mungu sifa na utukufu maana unastahili!!! Nakuinua Jehova mwenye enzi zote kwa jinsi nilivyo!!
PHP:Naona hii mada ni ya nyie guys, maana mnaelewa zaidi... Alaf thread za safari hii naona mmetuapania!
yaani umeuelewa ujumbe wenyewe......only men can answer this question.....ila nanyi mnaweza kuzungumzia yale ambayo huwa mnayasikia au kuyasikilizia......................kuwa vipimo vinasemaje......................
Usafiri unaozungumziwa hapa ndo upi?[IMG]https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%2039.gif[/IMG]
kwani kaka Ruta wewe hujafanya hvyo vpimo utupe jb?
Mi sijui..
Yapo maono ambayo sijui kama yamethibitishwa au ni ya kihisia tu ya kuwa na yanayodai kuwa "usafiri" kwa maana miguu ya mwanamke inakupa picha ya "uzuri wake" kiundani au sijui niseme kinguoni zaidi.ninajaribu kutumia maneno ambayo hayakwaruzi............lakini ninaamini nimeeleweka...........................
Swali langu huu utafiti wa "usafiri" kuthibitisha "uzuri" wa mwanamke umefanyika lini au kwa namna gani na je kuna ukweli kwenye hilo?