Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

dada zangu mmepoteana mpaka basi MUNGU AUMBE NYIE MMSAHIHISHE SUBIRINI MUONE SIKU YA KIYAMA
 
ni ukweli kwamba artificial inaboa sana sio kwamba tunaepuka gharama za kuwaudumia hapana ila ukimuona hata akipta njian tafsili yake sio mtu wa kuoa,wengi wao akitembea umbali wa kilometa bila kuitwa anahisi ana nuksi basi akitoka apo ndio ataongeza vtu vngi mwilini kwa nia ya kujilemba kumbe ndo anzidi kualibu....ni hayo tu
 
mwanamke ni uwa...Mwanamke anatakiwa apendeze...Tena km wewe ni mme mpendezeshe mkeo, ajirembe...kila urembo uuonao mnunulie mkeo lile ndilo ua lako la ndani....

Acheni ushamba nyie mnaosema mwanake asijirembe......Mwanamke anuke jasho, mwanamme jicho kodo na mwanamke nae? Jicho la mwanamke lirembwe lirembeke lilegee .....Domo lidode
 
Mwanamke hatakiwi kufanana na mwanaume bwana...Mwanamke mapambo khaa!!!
 
wengi wanaojiremba wana mithura mibayaaaaaa,,,,mie napenda mtu kama alivyo na sio maurembo coz nikitaka maurembo hata mdoli naweza kumvalisha.
 
mwanamke ni uwa...Mwanamke anatakiwa apendeze...Tena km wewe ni mme mpendezeshe mkeo, ajirembe...kila urembo uuonao mnunulie mkeo lile ndilo ua lako la ndani....

Acheni ushamba nyie mnaosema mwanake asijirembe......Mwanamke anuke jasho, mwanamme jicho kodo na mwanamke nae? Jicho la mwanamke lirembwe lirembeke lilegee .....Domo lidode

Na vijito vitiririshe maji bila kukoma kama chozi la mwanamke.
Na maua yachanue na kunyauka kama penzi la mwanaume.
 
Kina Oprah nk wanajiremba sembuse wabongo ambao Shida za maisha zenyewe zinawafanya nyuso zichoke....Mwanamke hatakiwi kuwa km dume bwana...Acha ushamba....Ndio nyie nyie hamtaki mwanamke apake perfume....
 
Aisi unafikili tumesychronise our brain. Ni uchafu, uchafu. ............., Halfu utakuta mwingine kuambika vizuri, sura safi, halafu bado anataka kujichafua na maurembo. Nafikili wanaume ni wavumiivu sana.

Halfu nani kakwambia pua za wanaume hazifanyi kazi, tunausa na tunakereka ila basi tuu wavumilivu.

Jmn mgomba kuupalilia, by the way kila ktu kina radha yake mi napenda mix up sometyms nakuwa natual and somtyms artifish.
 
Una akili sana. Nlijua ni mimi peke yangu.
Yaani mie huwa najisikia kutapika nikinusa harufa ya nywele zilizopakwa yale madawa. Hata kama mnaenda ku - do ile harufu inamshusha jogoo kabisa. Pia niliwahi kusikia eti wakipaka hayo madawa maji hayaruhusiwi kugusa kichwani sasa si uchafu huo huenda ndo unasababisha ile harufu kaaaliiii kama nanihiiiiiii vile
 
heheheheheh aluuu!
One man's meat is another man's fish..sorry poison.
Mtoa mada, we komaa na kuku wa kienyeji tu maana ndio saizi yako.Hao wengine huwawezi.

Baada ya utangulizi ngoja sasa tuwekane sawa:

1. Urembo kwa mwanamke inategemea naye anaelewa nini kuhusu urembo.Wengine hawana aah wala beeh kuhusu urembo na ndio maana hujikandika vipodozi na kukaa na minywele miezi bila kuosha! Nywele za bandia za kushonea za quality nzuri zenye kuoesheka mara kwa mara kama nywele asili ni bei mbaya.Kuna wenye kupenda urembo lakini mambo ya fedha yanagomba.

2. Urembo unaendana na mtu na kwa kipimo, kutegemeana na mtu mahali alipo, au anapokwenda,kazi afanyayo nk.Kazi kwenu kina baba/kaka kuwapa wake/marafiki wenu wa kike support kifedha na ushauri ili waendane na mnavyotaka au kutamani.Huwezi kulalamika tu bila kutafuta suluhu.

3.Wanaume kwa kiasi kikubwa mnawasukuma wanawake kwenda mbali na hata kufanya mambo yenye kuwaletea madhara ili mradi tu mfurahie. Hebu acheni kukimbizia wanawake warembo muone kama wanawake watahangaika hivyo.Mwanaume mwenye mwanamke "natural" hufurahia kupunguza matumizi nyumbani lakini huhangaika sana kuipendezesha nyumba ndogo, Mwisho wa siku mwanamke asilia nyumbani hulaumiwa kwa kujiachia! Mnadhani wanawake wanafurahia kuketi masaa 6 kusukwa au kufanyiwa waxing na mambo mengine yenye kuleta maumivu ya kutisha? ACHENI HIZO WANAUME!
Mkuu umefunga mjadala @@@Tuwarembe tu we
heheheheheh aluuu!
One man's meat is another man's fish..sorry poison.
Mtoa mada, we komaa na kuku wa kienyeji tu maana ndio saizi yako.Hao wengine huwawezi.

Baada ya utangulizi ngoja sasa tuwekane sawa:

1. Urembo kwa mwanamke inategemea naye anaelewa nini kuhusu urembo.Wengine hawana aah wala beeh kuhusu urembo na ndio maana hujikandika vipodozi na kukaa na minywele miezi bila kuosha! Nywele za bandia za kushonea za quality nzuri zenye kuoesheka mara kwa mara kama nywele asili ni bei mbaya.Kuna wenye kupenda urembo lakini mambo ya fedha yanagomba.

2. Urembo unaendana na mtu na kwa kipimo, kutegemeana na mtu mahali alipo, au anapokwenda,kazi afanyayo nk.Kazi kwenu kina baba/kaka kuwapa wake/marafiki wenu wa kike support kifedha na ushauri ili waendane na mnavyotaka au kutamani.Huwezi kulalamika tu bila kutafuta suluhu.

3.Wanaume kwa kiasi kikubwa mnawasukuma wanawake kwenda mbali na hata kufanya mambo yenye kuwaletea madhara ili mradi tu mfurahie. Hebu acheni kukimbizia wanawake warembo muone kama wanawake watahangaika hivyo.Mwanaume mwenye mwanamke "natural" hufurahia kupunguza matumizi nyumbani lakini huhangaika sana kuipendezesha nyumba ndogo, Mwisho wa siku mwanamke asilia nyumbani hulaumiwa kwa kujiachia! Mnadhani wanawake wanafurahia kuketi masaa 6 kusukwa au kufanyiwa waxing na mambo mengine yenye kuleta maumivu ya kutisha? ACHENI HIZO WANAUME!
Mkuu umefunga mjadala@@@ Tuwarembe tu kama nguvu ipo ila ma make up yasizidi
 
Kwahiyo mnataka tuslay na kipilipili chetu eeeh?
Tatizo kama mtu amevaa madude yake kichwani ukammwagia maji bahati mbaya kwenye yale madude yake, uhusiano unakufa siku hiyo hiyo. Na akijipaka maudongo yake, ukimwambia tuogelee hatakubali. Utaogelea peke yako.

Mbaya zaidi anakuwa na harufu kama ya kwenye duka la Dawa baridi.
 
Back
Top Bottom