Uzuri wa magari ya automatic na manual...!!

Binafsi nilikuwa napendelea sana kutumia automatic nilipokuwa Ughaibuni kwa sababu nilikuwa kila siku natembea km 160 hadi 200 yaani nakaa mji mwingine nafanya kazi mji mwingine, nilipokuja kununua Subaru impreza wrx ndio nikaanza kuzipenda gari za manual, kwani injini yake ilikuwa ina turbo na ilikuwa very powerful na ilikuwa ina gia sita sasa kwenye highway za wenzetu unaweza ukakimbia hadi speed 200, yaani safari zangu za kila siku niliona kama zimepungua umbali vile maana ukianza kutupia namba mbili itataka ya tatu na jinsi injini inavyolalamika ndio mzuka unavyopanda kutupia nyingine na nyingine na hapo turbo ndio ishafunguka unasikilizia mruzi wake yaani ni raha iliyoje, lakini nilivyorejea hapa Bongo niliona hali ni tofauti kidogo kutokana na foleni zetu ni mateso ukiendesha manual


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums app
 
Manual ni nzuri zaidi ya automatic. Unakuwa na full control ya gari. Unabadilisha gear pale unapoamua sio kusubiri revolution. Battery ikiwa low ni rahisi kusukumwa na kuwasha wakati huwezi kufanya hivyo kwa manual. Hata ukiangalia bei za manunuzi utaona kuwa gari za aina moja say RAV4 zinazolingana sana ila zikatofautiana transmission utaona kuwa manual in bei kubwa zaidi.

My take: Go for manual transmission
 
Hapa kuna contradictions kidogo mkuu. Unachosema nimewahi kumsikia dada mmoja wa Kijerumani akikisema pia. Lakini ni kinyume hake kwa Japani. Maana ukiingia hata kwenye mitandao ya wauza magari wote wa kijapani utakuta kuwa magari ya manual ni ghali kuliko automatic, hapa sasa sielewi.. Huenda Ulaya wamefanya hivyo ili kuwa-discourage watu kununua magari automatic ambayo wanajua matatizo yake (ni mawazo yangu tu haya).

2po pamoja
 
Jambo wana jf.

Mimi nina zote na mara nyingi kwa safari fupi za hapa town na prefer auto ila kama ni long trip basi manual ndo best coz unakua bize muda. Fuel consumpt: manual is the best maana we ndo unaiendesha wakat auto inakuendesha. Kubwa zaidi auto service yake iko juu maana lazma ubadilishe hydrolic pia while manual ni engine oil tu na ofcoz filter.

Nafikiri cku zote kabla ya kununua kitu chochote ni bora uka fanya a very simple analysis kwa ku compare pros and cons hence decision, mf: ukubwa wa familia? Matumizi yako ni rough road au rami tu? 4wheels au 2wheels maana unaweza kua unaishi sehemu ambayo gari fupi haliwezi kuvumilia shida esp wakt wa masika au barabara ni mbaya sana labda mchanga mwingi au matipo so u must hv a 4x4 au unashuguri za offload eg shamba u need kubeba mbolea, miti etc lkn kubwa pia ni space maana huwezi kufikiria short chasis wakt familia yako ni zaidi ya watu watano.

Kingine ni kipato chako, maana unaweza kukuta gari linatumia zaidi yako wewe na hata ukashindwa kuliendesha labda wiki ya kwanza ya mwanzo au mwisho wa mwezi tu ( hapa nime wagusa wengi wetu) siku zingine mzee unawahi kituo cha basi. Kumbe ungeweza kuchukua stalet au vitz na Mambo yako yakawa shwari tena full mfindi aka kiyoyozi wenzetu wanasema air condotion maana wapo wenye fikra potofu kuwa a/c inakula mafuta hahaha, unakuta mtu anazima ac kisa mafuta wakat bar na guest house anatumia zaidi na mwenziwe au washikaji (hapa pia nimewa...wengi hahaha).

Anyways to make it short manual is more durable maana inatengenezeka wakati auto mara nyingi unatakiwa kunua complete componet eg ingine kumbe tatizo lilikua piston au sleeve tu. Nakaribisha maswali maana hii ndo field yangu.

Saaaafi
 
Back
Top Bottom