Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Pitia bandiko lote... utapata details za kutosha!Sababu za kingwini hizi, naomba mtoe sababu za kitaalami tafadhali.
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Pitia bandiko lote... utapata details za kutosha!Sababu za kingwini hizi, naomba mtoe sababu za kitaalami tafadhali.
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Hapa kuna contradictions kidogo mkuu. Unachosema nimewahi kumsikia dada mmoja wa Kijerumani akikisema pia. Lakini ni kinyume hake kwa Japani. Maana ukiingia hata kwenye mitandao ya wauza magari wote wa kijapani utakuta kuwa magari ya manual ni ghali kuliko automatic, hapa sasa sielewi.. Huenda Ulaya wamefanya hivyo ili kuwa-discourage watu kununua magari automatic ambayo wanajua matatizo yake (ni mawazo yangu tu haya).
Jambo wana jf.
Mimi nina zote na mara nyingi kwa safari fupi za hapa town na prefer auto ila kama ni long trip basi manual ndo best coz unakua bize muda. Fuel consumpt: manual is the best maana we ndo unaiendesha wakat auto inakuendesha. Kubwa zaidi auto service yake iko juu maana lazma ubadilishe hydrolic pia while manual ni engine oil tu na ofcoz filter.
Nafikiri cku zote kabla ya kununua kitu chochote ni bora uka fanya a very simple analysis kwa ku compare pros and cons hence decision, mf: ukubwa wa familia? Matumizi yako ni rough road au rami tu? 4wheels au 2wheels maana unaweza kua unaishi sehemu ambayo gari fupi haliwezi kuvumilia shida esp wakt wa masika au barabara ni mbaya sana labda mchanga mwingi au matipo so u must hv a 4x4 au unashuguri za offload eg shamba u need kubeba mbolea, miti etc lkn kubwa pia ni space maana huwezi kufikiria short chasis wakt familia yako ni zaidi ya watu watano.
Kingine ni kipato chako, maana unaweza kukuta gari linatumia zaidi yako wewe na hata ukashindwa kuliendesha labda wiki ya kwanza ya mwanzo au mwisho wa mwezi tu ( hapa nime wagusa wengi wetu) siku zingine mzee unawahi kituo cha basi. Kumbe ungeweza kuchukua stalet au vitz na Mambo yako yakawa shwari tena full mfindi aka kiyoyozi wenzetu wanasema air condotion maana wapo wenye fikra potofu kuwa a/c inakula mafuta hahaha, unakuta mtu anazima ac kisa mafuta wakat bar na guest house anatumia zaidi na mwenziwe au washikaji (hapa pia nimewa...wengi hahaha).
Anyways to make it short manual is more durable maana inatengenezeka wakati auto mara nyingi unatakiwa kunua complete componet eg ingine kumbe tatizo lilikua piston au sleeve tu. Nakaribisha maswali maana hii ndo field yangu.