Uzuri/urembo/utanashati. Vs Jamii


Maamuzi yetu mengi bado yanakuwa influenced na makuzi, muono, na tafsiri za kila mmoja wetu.
Makuzi yalitu shape hisia zetu unapomuona mtu kakunja uso ina maana ana hasira.
Ukimuona mtu ameva hivyo hovyo, unatafsiri ana matatizo...nk...

Kwenye Customer Service training Skills nia ni kupanua wigo wa ufahamu.
Kwamba si kila aliyekunja uso ana hasira,...huenda anaumwa, huenda ana njaa, huenda ndivyo alivyo!
Tunafunzwa kujiepusha na kumhukumu mtu kabla hujamsikiza. Tunafunzwa kuzihifadhi kabatini hisia zetu.
Tunafunzwa ku empathy na wenzetu i.e mteja/mgeni/wenzetu.

Kubwa kuliko yote, tunapofunzwa tufundishike. Kwani hili haliishii makazini pekee na tunaofanya nao kazi.
Hata majumbani vile vile,...ukimkuta mke/mume kanuna haina maana umemkosea. Na hivyo hivyo,
twapaswa kujifunza jinsi personal appearances na facial expression zetu zinavyoweza ku influence mtazamo wetu kwa wengine.


Mbu your deep insights kaka some times nouma..... nimejifunza one or two things from
your comments leo, one ya muhimu ni jinsi gani hio issue inakua nurtured toka udogoni...
Ndio i knew but i think sikuizingatia nafasi yake katika hili suala.... as in toka unalelewa mpaka unakua...
Hata hivyo nikirudi katika Customer Handling Skills kuna ile Motto ya First in First to be served - Which
in this case ni problem kubwa saana... Na hizo hisia... Why ukienda wewe una serviwa na kununa - where
as akienda Mrembo/Mtanashati a smile i-rise?? I wish ungewahi angalia a Movie called
"Out of My League" Nitolee mfano scene fulani hivi....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mie huwa napata attention yote kwa kuwa huenda na baibui langu kila mahali, iwe ofisi ya serikali au binafsi, sijakuwa na tatizo la kuheshimiwa ila tu kunasiku nilienda pale uhindini, katika zile restaurant za usiku wanazotoa meza nje, mtaa wa Jamhuri, Dar. nikakosa kupewa attention ya haraka mpaka nikaamka na kwenda kukoroma counter, attention walikuwa wakipewa wadosi tu.

Other than that, sijapata kukosewa heshima na Asalaam Aleykum na shikamoo nyingi hupewa, labda age matters vilevile.

Nnavyodhani mimi, cha kwanza ni kuwa na muonekano wa kiheshima, ukivaa modestly, msafi au mnadhifu, ukawa huachi kutabasam hapa na pale na unaongea straight na to the point, sidhani kama utapata maonevu au kutoheshimika kama inavyobidi.


Faiza nimependa your share of experience.... na naona hio nilo bold itabidi nifanyie kazi....
Thou genuinely sijakutana na hii issue, ila in rare cases.... naona hizo rare cases in purple will do....lol
 
Mbu hivi mimi ni Architecture nikienda site nimevaa suti kuna kosa kweli lol!!


ha ha ha.... Sio mbaya.... wewe si una supervise tu??? lol


Ndio maana kuna wanaume wanafagilia Vitambi.

Unajua mtu mwenye kitambi, Shati linakaa mwilini vizuri halafu kimwazo ya kijinga anaonekana kama anazo.


Viviana huo utani sasa... lolz
 
Mbu your deep insights kaka some times nouma..... nimejifunza one or two things from
your comments leo, one ya muhimu ni jinsi gani hio issue inakua nurtured toka udogoni...
Ndio i knew but i think sikuizingatia nafasi yake katika hili suala.... as in toka unalelewa mpaka unakua...
Hata hivyo nikirudi katika Customer Handling Skills kuna ile Motto ya First in First to be served - Which
in this case ni problem kubwa saana... Na hizo hisia... Why ukienda wewe una serviwa na kununa - where
as akienda Mrembo/Mtanashati
a smile i-rise?? I wish ungewahi angalia a Movie called
"Out of My League" Nitolee mfano scene fulani hivi....
Hii tabia wanayo wanawake hasa ikitokea anayekuwa served ni mwanamke mwenzake i have seen this so many times
 
Mbu sometime we have to judge a book by its cover. Maana muonekano wa mtu kwa nje unapotray mengi sana. huwezi kuvalia suruali chini ya panapohusika halafu uniambie kuwa u r so smart even in your head. Muonekano wako unakushusha na kukuweka sehem ambayo hukutarajia

Nakubaliana nawe sana tu, ila vile vile haina maana kwakuwa aliyevaa Suit na tai ndio anaonekana Smart, na perception ya mtu inahamia kwamba huyo ni "saint."

art.london.heist.jpg
...hawa jamaa walivamia duka la Jewellery mjini London mwaka 2009.
Walikwenda na BMW ya maana tu...hata wale majambazi waliovamia MacSoms Bureau De Change mtaa wa India, walikuwa Smart sana siku ile...

...wangapi mkienda na kitita benki mnajitahidi kuvaa kawaida sana tu, na huku mkononi mmeshikilia mfuko wa karatasi wenye mamilioni ya fedha?

[BTW; AshaDii na wengineo, Kumradhi na mapicha jamani, ila ndio njia yangu nyepesi kuwasilisha Ujumbe.]
 
Nafikiri huu ni mtazamo mzuri... But in speacial cases as in not to be applied mara zoote....

It depend na mazingira maana kama ni kwenye ujenzi wa barabara ukienda na jeans yako hakuna atakaeuliza au ukienda na kukagua mradi wa maji unaenda na hali halisi
 
Hii tabia wanayo wanawake hasa ikitokea anayekuwa served ni mwanamke mwenzake i have seen this so many times


Bana hii bora kwa wanawake.... Wanaume si wana mtindo huo wa kukufanya ujisikie Speacial...

Mdada wa watu confidence yaweza rise kwa attentiona ya mkaka (which of coz ni false....)

Kimbembe atokee mdada mrembo hapo.... ha ha ha... Anamsahau dada wa watu kabisa

kama sio yule alikua anamchekea hapo....lol... Yaani mbaya kweli....
 
Faiza nimependa your share of experience.... na naona hio nilo bold itabidi nifanyie kazi....
Thou genuinely sijakutana na hii issue, ila in rare cases.... naona hizo rare cases in purple will do....lol

AshaDii hiyo bold na purple mbona kwangu siioni? ni mimi , laptop yangu au umesahau kuiweka?
 
Nakubaliana nawe sana tu, ila vile vile haina maana kwakuwa aliyevaa Suit na tai ndio anaonekana Smart, na perception ya mtu inahamia kwamba huyo ni saint.

art.london.heist.jpg
...hawa jamaa walivamia duka la Jewellery mjini London mwaka 2009.
Walikwenda na BMW ya maana tu...
...wangapi mkienda na kitita benki mnajitahidi kuvaa kawaida sana tu, na huku mkononi mmeshikilia mfuko wa karatasi wenye mamilioni ya fedha?

[BTW; AshaDii na wengineo, Kumradhi na mapicha jamani, ila ndio njia yangu nyepesi kuwasilisha Ujumbe.]




I love your pics mara nyingi.... in fact i am counting on you kunikuzia pic iko ktk this thread
post # 51 nataka i-appear bigger... Please do the needful...

Alafu kisa chako kimenikumbusha mwaka juzi if not mistaken huko London, kuna jamaa
alienda na ulinzi mkali hapo Bank na kudai yeye ndi mkubwa wa hapo (akataja kabisa jina)
na kutaja apewe millions of pounds... You can not believe it alipewa na akaondoka mida ya
saa nne asubuhi... by the time wame realise waka gundua ni tapeli!!! LOL
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
It depend na mazingira maana kama ni kwenye ujenzi wa barabara ukienda na jeans yako hakuna atakaeuliza au ukienda na kukagua mradi wa maji unaenda na hali halisi


Now that is the word...
 
Nakubaliana nawe sana tu, ila vile vile haina maana kwakuwa aliyevaa Suit na tai ndio anaonekana Smart, na perception ya mtu inahamia kwamba huyo ni "saint."

art.london.heist.jpg
...hawa jamaa walivamia duka la Jewellery mjini London mwaka 2009.
Walikwenda na BMW ya maana tu...hata wale majambazi waliovamia MacSoms Bureau De Change mtaa wa India, walikuwa Smart sana siku ile...

...wangapi mkienda na kitita benki mnajitahidi kuvaa kawaida sana tu, na huku mkononi mmeshikilia mfuko wa karatasi wenye mamilioni ya fedha?

[BTW; AshaDii na wengineo, Kumradhi na mapicha jamani, ila ndio njia yangu nyepesi kuwasilisha Ujumbe.]
Mbu nitafanya jaribio moja siku nitaenda Kempinsiki nimevaa suti halafu niingie restaurant najua nitapata world class service kutokana na jinsi nitakavyokuwa nimevaa, halafu nitaenda pale Movenpick nimevaa pensi na sandals niingie Restaurant halafu nione reception nitakayopata lol!!!
 
Now that is the word...

AshaDii your words is my command and i appreciate a lot.
Tukubali kuwa usmart na muonekano wa mtu ni kitu cha kujengwa toka moyoni na kama mtu anapenda kuwa smart au awe na muonekno mzuri ni lazima ajenge kitu hicho ndani ya moyo wake na ajue kuwa si kitu cha kuiga.
 
Mbu your deep insights kaka some times nouma..... nimejifunza one or two things from
your comments leo, one ya muhimu ni jinsi gani hio issue inakua nurtured toka udogoni...
Ndio i knew but i think sikuizingatia nafasi yake katika hili suala.... as in toka unalelewa mpaka unakua...
Hata hivyo nikirudi katika Customer Handling Skills kuna ile Motto ya First in First to be served - Which
in this case ni problem kubwa saana... Na hizo hisia... Why ukienda wewe una serviwa na kununa - where
as akienda Mrembo/Mtanashati a smile i-rise?? I wish ungewahi angalia a Movie called
"Out of My League" Nitolee mfano scene fulani hivi....

...inatokana na muamsho wa hizo hisia. Fikiria, mrembo/mtanashati huyo huyo anaweza akifika Counter, akishafungua mdomo wake tu ni matusi, ukali na dharau...unadhani hizo smiles zitaendelea?

Mwenzenu Sidanganyiki!
 
Mbu nitafanya jaribio moja siku nitaenda Kempinsiki nimevaa suti halafu niingie restaurant najua nitapata world class service kutokana na jinsi nitakavyokuwa nimevaa, halafu nitaenda pale Movenpick nimevaa pensi na sandals niingie Restaurant halafu nione reception nitakayopata lol!!!

hapo sidhani kama watakuruhusu uingie maana wataanza kukujudge toka unaingia kuwa wewe either ni mwanamusic unafuata mtu pale wa kubomu au una miadi na mtu au utaleta usumbufu kwa wageni
 
nakuunga mkono 100% nilishawahi kufika bank CRDB, nilihitaji huduma ya fasta, lakini wale wadada walikuwa wakiwahudumia zaidi majamaa fulani mahendisam, sio kwamba mi simo! But that day nilikuwa rough, nguo za ajabu ajabu, nywele sikuchana, uchangamfu na smile siku ile ilikuwa zero! Nikaona nachomeshwa mahindi nikawachanjia, kwanza nikamwambia akanichekia balance, hee! Alivorudi alikuja na bonge la tabasamu! Nakubali kabisa kuwa kuna PATIALLITY 100%
 
Mbu nitafanya jaribio moja siku nitaenda Kempinsiki nimevaa suti halafu niingie restaurant najua nitapata world class service kutokana na jinsi nitakavyokuwa nimevaa, halafu nitaenda pale Movenpick nimevaa pensi na sandals niingie Restaurant halafu nione reception nitakayopata lol!!!

lol...hapana bana, hizo sehemu zina etiquettes zake. Kempinski, Movenpick zote ni classified City Business Hotels
Usijaribu hilo la pensi na kandambili, [unless unatembelea Beach Hotels bana]..lol!
 
Nakubaliana nawe sana tu, ila vile vile haina maana kwakuwa aliyevaa Suit na tai ndio anaonekana Smart, na perception ya mtu inahamia kwamba huyo ni "saint."

art.london.heist.jpg
...hawa jamaa walivamia duka la Jewellery mjini London mwaka 2009.
Walikwenda na BMW ya maana tu...hata wale majambazi waliovamia MacSoms Bureau De Change mtaa wa India, walikuwa Smart sana siku ile...

...wangapi mkienda na kitita benki mnajitahidi kuvaa kawaida sana tu, na huku mkononi mmeshikilia mfuko wa karatasi wenye mamilioni ya fedha?

[BTW; AshaDii na wengineo, Kumradhi na mapicha jamani, ila ndio njia yangu nyepesi kuwasilisha Ujumbe.]

Mbu nakubaliana na wewe kabisa
hapo ni pale unaposema kuna watu wanaitumia personality yao kwa ajili ya kupata kile wanachokitaka au wanaitumia kwa nia haswa iliyotakiwa kama kuwa ofisini. ila hadi matapeli na wezi siku hizi wamegundua kuwa njia nzuri ya kuiba ni kuwa smart na kuwa na muonekano ambao nmzuri then wanakuibia kirahisi au kukutapeli kirahisi sana
 
Mbu nitafanya jaribio moja siku nitaenda Kempinsiki nimevaa suti halafu niingie restaurant najua nitapata world class service kutokana na jinsi nitakavyokuwa nimevaa, halafu nitaenda pale Movenpick nimevaa pensi na sandals niingie Restaurant halafu nione reception nitakayopata lol!!!

Hapo hapo Movenpick waweza enda na Pensi na sandals and it still speaks class....

Si unajua bana kuna pensi na Sandals zemeenda shule, ukichanganya na the way

you carry yourself.... unakua usha maliza!


AshaDii your words is my command and i appreciate a lot.
Tukubali kuwa usmart na muonekano wa mtu ni kitu cha kujengwa toka moyoni na kama mtu anapenda kuwa smart au awe na muonekno mzuri ni lazima ajenge kitu hicho ndani ya moyo wake na ajue kuwa si kitu cha kuiga. !


Rocky haya maneno yako bila ubishi toka kwa AshaDii....



...inatokana na muamsho wa hizo hisia. Fikiria, mrembo/mtanashati huyo huyo anaweza akifika Counter, akishafungua mdomo wake tu ni matusi, ukali na dharau...unadhani hizo smiles zitaendelea?

Mwenzenu Sidanganyiki! !

Hio statement in purple has made my eveninng....lol...

Kwa hiyo ile first glance inakushawishi but akija vibaya haudanganyiki?? really funny!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Back
Top Bottom