AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
- Thread starter
- #41
AshaDii nimekumiss
Ok ok kwenye mada utanashati na muonekano wako una mengi sana. Unaweza kukupa kazi ambayo hukuitarajia na ukakutana na bahati ambazo hukuzitarajia na muonekano wako na watu wanavyokuchukulia inakuwa tofauti kidogo. Kuna kazi ambazo bila usmart watu wanakuona hamnazo hata kukuamini na kukupa kazi inakuwa ni issue. Mfano ni wazi kuwa kazi niliyo nayo moja ya kigezo kilikuw ani namna unavyoonekana na vaa yako
Mr R AshaDii Missed you too...
Nimependa maelezo yako... ila tu yameishia njiani, ndio yameeleweka
But would like to know in connection na kazi unayo fanya... ni jinisi gani
ulitakiwa uvae, na je did you have an advantage of knowing before the interview??