Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Matangazo mengi ya kazi wanataka watu wenye uzoefu wa muda fulani, mara nyingi wanasema miaka mitano.
The same applies kwenye mapenzi. Kama unataka kupata raha ya mapenzi, kutana na mwenza mwenye uzoefu katika hayo mambo. Aliyeacha au kuachwa. Aliyewahi kuumiza au kuumizwa. Hapa siongelei mambo ya kitandani (japo nayo yana-apply), bali naongelea jinsi mtu anavyojua kutreat mpenzi wake, ku-care, kuhandle migogoro, kuhandle wivu, matumizi ya mawasiano hasa simu katika mapenzi, nk.
Ukweli ni kuwa ukikutana na mtu ambaye hajawahi kuwa katika mahusiano siriaz na mtu mwingine kabla, then uwezekano wa ku-enjoy mahusiano yenu unakuwa compromised
Mnasemaje wanajamvi?
The same applies kwenye mapenzi. Kama unataka kupata raha ya mapenzi, kutana na mwenza mwenye uzoefu katika hayo mambo. Aliyeacha au kuachwa. Aliyewahi kuumiza au kuumizwa. Hapa siongelei mambo ya kitandani (japo nayo yana-apply), bali naongelea jinsi mtu anavyojua kutreat mpenzi wake, ku-care, kuhandle migogoro, kuhandle wivu, matumizi ya mawasiano hasa simu katika mapenzi, nk.
Ukweli ni kuwa ukikutana na mtu ambaye hajawahi kuwa katika mahusiano siriaz na mtu mwingine kabla, then uwezekano wa ku-enjoy mahusiano yenu unakuwa compromised
Mnasemaje wanajamvi?