Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Kama kweli kuna watu wanampiga Zitto kwa sababu ya dini yake...basi ni jambo la kusikitisha.
Labda tu kama kuna watu wameishiwa hoja wanaanza kukimbilia hizo nguzo kuu za kishetani zilizosukwa na kusimikwa na CCM yenyewe (Makundi/mitandao, ufisadi na udini/ukabila/ukanda). Mtu yeyote anayejikta katika nguzo hizo, hafai kabisa hata kugombea ujumbe wa nyumba kumi.
Wanaomuunnga mkono kwa dini yake ni wengi zaidi,,, we fikiria hadi Mohamed Shossi anaunga mkono CDM linapokuja suala la Zitto agombee urais. Eti ndio alisababisha CDM ikapata wabunge wengi...