Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
- Thread starter
- #241
Asante kwa mchango wako,
Sijaelekeza hivyo lakini pamoja na hayo, pia sio wakati wote mtu mzima hufanya mambo mazuri akiwa na nafasi ya uongozi ngazi ya Rais; Wapo kina George Bush, na wengine wengi kama mifano, dunia nzima; Suala la msingi hapa ni tujiulize kwanini Demokrasia yenye mafanikio kuliko yote (USA) na demokrasia kubwa kuliko zote duniani (India), na nchi nyingine nyingi, kikatiba kigezo cha umri miaka 35; Vile vile ujiulize - kwanini CCM imefanikiwa kukushawishi wewe kwamba umri wa miaka 40 ndio sahihi, huku CCM hiyo hiyo enzi za TANU (1965-1977), kigezo kikatiba kilikuwa miaka 30;
Mimi sio mwanachama wa UVCCM, lakini muhimu zaidi ni majibu yangu kwa nukuu yako hapo chini:
Kwanza, suala la ujana kuishia miaka 35 sio kauli yangu au mtazamo wangu binafsi bali ni kigezo rasmi kwa mujibu wa umoja wa mataifa (UNESCO), ambapo unatambua ujana kuwa umri kuanzia miaka 15 hadi 35; Kwahiyo naomba uelewe kwamba hoja yangu juu ya hili na mimi sijaitoa barabarani; Vinginevyo suala la variance katika kigezo husika, mimi sijabisha, suala muhimu ni kujengea hoja, na nimejitahidi katika hilo, kwahiyo kinachoendelea baina yangu na wewe katika hili ni mgongano tu wa mawazo, jambo ambalo ni la kawaida;
Vinginevyo kutumia research ya UK kujengea hoja contradicts na hoja yako hapo chini kuhusu umuhimu wa mimi kuelimika kwamba mifano ya marekani haiendani na mazingira ya nchi kama Tanzania; Kwa maana hii, basi na wewe haustahili kunipa mifano ya UK kwa Tanzania, kwani kwa mujibu wa hoja yako, kufanya hivyo sio sahihi...
Hapa pia nikueleze tu kwamba - tafiti za nchi kama UK ambazo zinachukua random sample ambapo age structure katika population yao na ya kwetu ni tofauti kabisa; kwa mfano, kwa UK, idadi ya wananchi walio chini ya miaka 15 ni 17%, wakati kwa Tanzania ni 50%; Wananchi wengi wa UK wamevuka miaka 35; nchini Tanzania, kwa mujibu wa benki ya dunia, watanzania chini ya miaka 25 sasa wanafikia 60% (2010), na idadi hii inatarajiwa kufikia 75% ifikapo mwaka 2015;
Kwahiyo ukihoji wananchi elfu mbili randomly Tanzania na UK kwa swali hilo hilo, majibu hayatakuwa sawa; Sidhani kama nina haja ya kufafanua zaidi kwanini ingawa nipo tayari kufanya hivyo iwapo haukubaliani nami katika hilo;
Hii ndio hoja yako uliyojikanyaga ndani ya bandiko moja kama nilivyofafanua hapo juu;
Sioni mantiki yako ni nini katika hili...
ndugu mchambuzi....swala la kwanza; hoja yako kuhusu umri inaelekeza kuwa kijana hastahili kuwa rais na hivyo hakuna mifano mahala popote ambapo rais amekuwa kijana na akafanya mambo mazuri.
Sijaelekeza hivyo lakini pamoja na hayo, pia sio wakati wote mtu mzima hufanya mambo mazuri akiwa na nafasi ya uongozi ngazi ya Rais; Wapo kina George Bush, na wengine wengi kama mifano, dunia nzima; Suala la msingi hapa ni tujiulize kwanini Demokrasia yenye mafanikio kuliko yote (USA) na demokrasia kubwa kuliko zote duniani (India), na nchi nyingine nyingi, kikatiba kigezo cha umri miaka 35; Vile vile ujiulize - kwanini CCM imefanikiwa kukushawishi wewe kwamba umri wa miaka 40 ndio sahihi, huku CCM hiyo hiyo enzi za TANU (1965-1977), kigezo kikatiba kilikuwa miaka 30;
pili; kwako wewe umri wa ujana unaishia miaka 35 kama vile wewe ni mwanachama wa UVCCM;
Mimi sio mwanachama wa UVCCM, lakini muhimu zaidi ni majibu yangu kwa nukuu yako hapo chini:
NI VYEMA nikukumbushe kuwa range of youth age varies a lot.-Youth is the time of life between childhood and maturity. Definitions of the specific age range that constitutes youth vary. An individual's actual maturity may not correspond to their chronological age, as immature individuals could exist at all ages.( wikipedia).
mfano kulingana na united nations umri wa ujana unaishia miaka 24. cheki hapa. The policy adopts the definition of youth as declared by the United Nations, which defines a youth as a person aged between 15 to 24 years. www.tanzania.go.tz/ilfs%5CChapter%2012.doc.
angalia pia tafiti za karibuni za nchi mf Uingereza ambazo mara nyingi si sahihi kujilinganisha nao. utafiti huu ulifanyika mwaka huu huu.A survey of 2,200 people questioned as part of researchby the Department for Work and Pensions, showed that on average, Britons thinkold age starts at 59, while youth ends at 41.
kwahiyo suala la ujana unaishia umri gani ni suala lipo dynamic na linaendana na mitizamo tofauti.
Kwanza, suala la ujana kuishia miaka 35 sio kauli yangu au mtazamo wangu binafsi bali ni kigezo rasmi kwa mujibu wa umoja wa mataifa (UNESCO), ambapo unatambua ujana kuwa umri kuanzia miaka 15 hadi 35; Kwahiyo naomba uelewe kwamba hoja yangu juu ya hili na mimi sijaitoa barabarani; Vinginevyo suala la variance katika kigezo husika, mimi sijabisha, suala muhimu ni kujengea hoja, na nimejitahidi katika hilo, kwahiyo kinachoendelea baina yangu na wewe katika hili ni mgongano tu wa mawazo, jambo ambalo ni la kawaida;
Vinginevyo kutumia research ya UK kujengea hoja contradicts na hoja yako hapo chini kuhusu umuhimu wa mimi kuelimika kwamba mifano ya marekani haiendani na mazingira ya nchi kama Tanzania; Kwa maana hii, basi na wewe haustahili kunipa mifano ya UK kwa Tanzania, kwani kwa mujibu wa hoja yako, kufanya hivyo sio sahihi...
Hapa pia nikueleze tu kwamba - tafiti za nchi kama UK ambazo zinachukua random sample ambapo age structure katika population yao na ya kwetu ni tofauti kabisa; kwa mfano, kwa UK, idadi ya wananchi walio chini ya miaka 15 ni 17%, wakati kwa Tanzania ni 50%; Wananchi wengi wa UK wamevuka miaka 35; nchini Tanzania, kwa mujibu wa benki ya dunia, watanzania chini ya miaka 25 sasa wanafikia 60% (2010), na idadi hii inatarajiwa kufikia 75% ifikapo mwaka 2015;
Kwahiyo ukihoji wananchi elfu mbili randomly Tanzania na UK kwa swali hilo hilo, majibu hayatakuwa sawa; Sidhani kama nina haja ya kufafanua zaidi kwanini ingawa nipo tayari kufanya hivyo iwapo haukubaliani nami katika hilo;
Ukitoa mfano wa marekani hautakuwa sahiihi sababu ya culture ,environment,maandalizi gani wanapewa watoto wa kule kuingia ujana na utu uzima; je yanawawezesha kuingia mapema zaidi?
Hii ndio hoja yako uliyojikanyaga ndani ya bandiko moja kama nilivyofafanua hapo juu;
hata na hivyo marekani yenyewe pamoja na umri mkubwa wa taifa lao ni mwaka 1970 tu ndio iliporuhusiwa wenye miaka 18 kupiga kura.
The Twenty-sixth Amendment (AmendmentXXVI) of the United States Constitution standardized the voting ageto 18. It was adopted in response to student activism against the VietnamWar and to partially overrule the Supreme Court's decision in Oregonv. Mitchell. It was adopted on July 1, 1971
If we were old enough to die in theViet Nam war, we thought we were also old enough to vote.
Sioni mantiki yako ni nini katika hili...