Uzito wa hali ya juu unanitesa, nahitaji msaada wenu waheshimiwa

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Sep 26, 2014
2,114
1,485
Habari za muda huu wapendwa waheshimiwa madaktari wa jamii forums ,
Mimi ni kijana wa miaka 24 ninaishi katika mji wa ushirombo mkoani geita wilaya ya bukombe.
Ombi langu kubwa lililonileta humu kuhitaji ushauri wenu ni kwamba nina uzito wa hali ya juu (119 kg kwa sasa) ingawaje mwezi uliopita nilikuwa na uzito wa (115 kg) nilivyenda kupima jana nikagundua nimeongezeka kg 4 , ukweli nachukizwa sana na kuwa na kg nyingi kwa ufupi ninafanya mazoezi hasa ya mpira kila siku kwa siku 7 mfululizo ila nadhani kwenye diet ndio nakosea ningependa mnishauri nibalance vipi milo yangu ili niweze kupunguza mwili pamoja na uzito , NINATHAMINI SANA USHAURI WENU NA NITAUFANYIA KAZI.
 
Google...."supu ya kabichi na kupunguza uzito"....fuata maelekezo utaloose kg 7. Kwa wiki....nilikuwa mzito pia
 
Tumia health diet, kwanza acha kabisa vyakula vya sukari then punguza kabisa kula wanga fano wanga iee mlo mmoja tu wa mchana usioidi ngumi yako ya mkono, jioni kula mboga za majani tu , kila unaposikia njaa kula tunda kama chungw , parachichi, aple, usile ndizi ina sukari nyingi.
 
Anza kukimbia Asubuhi na jioni anza kwa 2km na kuongeza km 2 kila siku. Ruka kamba kwa dakika 45 bila kuacha mara 3 kwa siku. Kunya maji ya uvuguvugu yasipungue 4ltrs kwa siku. Na punguza msoc.
 
Acha kula for one week,uwe unakunywa juice na Maji tu na mazoezi mepesi alafu urudishe jibu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom