Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,799
- 30,724
Leo nimepita maeneo ya Snow crest hotel aliyozindua Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete siku ya ijumaa nakukuta uzio[ukuta] umebomolewa.
Nimejiuliza maswali mengi bila kupata majibu,inakuwaje hotel iliyozinduliwa na Mheshimiwa Rais imevunjwa ukuta siku tatu baada ya kuzinduliwa.
Wakuu wa vyombo vya usalama walishindwa kumfahamisha rais kwamba hotel ilikuwa imejengwa eneo la hifadhi ya barabara ?.
Nadhani hii ni aibu nyingine ambayo ingeweza kuepukwa kama wanausalama wangezingatia maadili ya kazi yao.
Naomba kuwasilisha.
Nimejiuliza maswali mengi bila kupata majibu,inakuwaje hotel iliyozinduliwa na Mheshimiwa Rais imevunjwa ukuta siku tatu baada ya kuzinduliwa.
Wakuu wa vyombo vya usalama walishindwa kumfahamisha rais kwamba hotel ilikuwa imejengwa eneo la hifadhi ya barabara ?.
Nadhani hii ni aibu nyingine ambayo ingeweza kuepukwa kama wanausalama wangezingatia maadili ya kazi yao.
Naomba kuwasilisha.