Tongue blister
JF-Expert Member
- Jun 19, 2009
- 362
- 11
Tuwe na vugu vugu !!Usilale nyumbani na kusali tu kwamba Mungu atakuletea chakula..! Zamani binadamu waliishi kwa kula matunda ya polini na wanyama pamoja na samaki ambavyo kwa wakati huu vitu hivyo kuvipata lazima utoe jasho kisawa sawa.
Kama utaendelea kuwaabudu WAKORINTHO AU WAGARATIA utaumia. Au na NYIE wote ni wakina MKAPA mwataka kumwachia MUNGU then aje awajengee majumba ya fahali ?
Kama utaendelea kuwaabudu WAKORINTHO AU WAGARATIA utaumia. Au na NYIE wote ni wakina MKAPA mwataka kumwachia MUNGU then aje awajengee majumba ya fahali ?