Mundali
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 749
- 164
Compare na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kilipofungua tawi jipya lililopo eneo la Pamba Road katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Mambo yamebadilika...CCM sasa hivi kimekuwa chama cha VIJANA na CDM kimekuwa chama cha WaZEE! What a change!!!
View attachment 43746 View attachment 43747 View attachment 43748
Kama ukiweza kwenda katika eneo la mortangosi huko Kiteto huku umevaa hivi bila kupigwa mapanga nakuzawadia ngo'mbe dume.